Hili tatizo limenisumbua sana,ila sasa hivi nimepata nafuu sana baada ya kuanza kutumia maji ya moto(uvuguvugu) asubuhi ninapoamka kabla sijala kitu wala kupiga mswaki glass 2,baada ya chai galssi 1,kwakuwa naenda kazini sipati nafasi ya kupata maji ya moto lakini ninaporudi nyumbani nusu saa kabla ya chakula glassi 1 na nusu saa baada ya kula glassi 1,pia asubuhi chai yangu naweka mdalasini sasa sijajua kama nitapona kabisa hii hali au ni kwa muda,ila imenisaidia sana,try it and u can give me feedback.