Mkuu kwanza jitibie hayo maambukizi ya bacteria h.pylor kwani mwisho wake utakuja kupata vidonda vya tumbo na kutibika kwake itakugharimia sana. Kuliko wewe kuendekeza mapombe yasiyokuw ana faida yoyote ile.Ukitaka nikutibie hayo maambukizi ya bacteria h.pylor, Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +90-534-450-8169. Na kuhus Gesi kula punje 2 za kitunguu saumu kila unaposikia hiyo gesi tafuna hizo punje 2 za kitunguu saumu umeze na maji ya uvuguvugu gesi yako itaondoka.habar. jaman naomba kuuliza mm nasumbuliwa na tumbo kujaa ges sana ambapo nilipima nkaambiwa nnao maambukiz ya bacteria h.pylor shida ni kuwa napenda sana pombe ila sa hvi siwez mana nkionja tu tumbo linajaa sana naomba mnisaidie labda ni bia gan nikinywa haitakuwa na shida mana yan najisikia upweke sana kuacha pombe .
mkuu nashukuru sema hayo mawasiliano ulionipa sijuh hata nakutafutaje ndguMkuu kwanza jitibie hayo maambukizi ya bacteria h.pylor kwani mwisho wake utakuja kupata vidonda vya tumbo na kutibika kwake itakugharimia sana. Kuliko wewe kuendekeza mapombe yasiyokuw ana faida yoyote ile.Ukitaka nikutibie hayo maambukizi ya bacteria h.pylor, Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169. Na kuhus Gesi kula punje 2 za kitunguu saumu kila unaposikia hiyo gesi tafuna hizo punje 2 za kitunguu saumu umeze na maji ya uvuguvugu gesi yako itaondoka.
OK. WHATSAPP HIZO NAMBA UNAZIWEKAJE NDGU MBNA SIZION WHATSAPP?mkuu nashukuru sema hayo mawasiliano ulionipa sijuh hata nakutafutaje ndgu
pia hzo punje nameza tu kama dawa au natafuna?mkuu nashukuru sema hayo mawasiliano ulionipa sijuh hata nakutafutaje ndgu
sio siri hii ndio njia ninayotumia maana nimeshakunywa dawa kibao za hospitali lakini gesi haikuisha so ninachokifanya ni kila ikijaa najamba tu na hivi ofisini niko pekee yangu nashukuru sana mungu.Tatizo langu la gesi ni kubwa maana nikijisaidia haja kubwa najamba hata nikienda kujisaidia haja ndogo napo najamba ili nipunguze gesikwanini unavumilia ugonjwa wenye dawa ? tumbo likijaa gesi wewe jamba tu
kujamba si kwamba sipend napenda sana mana ndo napata nafuu sema kuna saa hata kujamba hujambi lkin linajaa tu.sio siri hii ndio njia ninayotumia maana nimeshakunywa dawa kibao za hospitali lakini gesi haikuisha so ninachokifanya ni kila ikijaa najamba tu na hivi ofisini niko pekee yangu nashukuru sana mungu.Tatizo langu la gesi ni kubwa maana nikijisaidia haja kubwa najamba hata nikienda kujisaidia haja ndogo napo najamba ili nipunguze gesi
mbona unapewa dawa hutumii unalialia tu wewe mtu?kujamba si kwamba sipend napenda sana mana ndo napata nafuu sema kuna saa hata kujamba hujambi lkin linajaa tu.
ahaaaa sipati picha hyo milipuko ya nyukliasio siri hii ndio njia ninayotumia maana nimeshakunywa dawa kibao za hospitali lakini gesi haikuisha so ninachokifanya ni kila ikijaa najamba tu na hivi ofisini niko pekee yangu nashukuru sana mungu.Tatizo langu la gesi ni kubwa maana nikijisaidia haja kubwa najamba hata nikienda kujisaidia haja ndogo napo najamba ili nipunguze gesi
habar. jaman naomba kuuliza mm nasumbuliwa na tumbo kujaa ges sana ambapo nilipima nkaambiwa nnao maambukiz ya bacteria h.pylor shida ni kuwa napenda sana pombe ila sa hvi siwez mana nkionja tu tumbo linajaa sana naomba mnisaidie labda ni bia gan nikinywa haitakuwa na shida mana yan najisikia upweke sana kuacha pombe .
Nipe namba yako ya What's App nipate kuku add kwenye What's App yanguhizo namba za whatsapp za mzizmkavu mbna whatsapp sizion? kuna mtu ana utaalam wa jins ya kuingza hzo namba? mana zmekaa kitofaut sana.