Tumbo kuunguruma kuna sababishwa na nini ?

Wana jf tumbo langu linaunguruma sana yaani waweza dhania nimemeza vyura kwani hukimbizana na kugonga kuta za tumbo.Sauti mpaka ninajishtukia kwani watu wanazisikia.Hivi tatizo ni nini?
Hiyo ni gesi tumboni..... chemsha sanamaki kiganja kimoja kunywa kikombe kimoja kutwa mara mbili siku 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…