Tumbo kuunguruma kuna sababishwa na nini ?

Tumbo kuunguruma kuna sababishwa na nini ?

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
726
Reaction score
564
Wana jf tumbo langu linaunguruma sana yaani waweza dhania nimemeza vyura kwani hukimbizana na kugonga kuta za tumbo.Sauti mpaka ninajishtukia kwani watu wanazisikia.Hivi tatizo ni nini?
 
Wana jf tumbo langu linaunguruma sana yaani waweza dhania nimemeza vyura kwani hukimbizana na kugonga kuta za tumbo.Sauti mpaka ninajishtukia kwani watu wanazisikia.Hivi tatizo ni nini?
Kuna gesi tumboni na hii inasababishwa na kula vitu ambavyo havijasagika vizuri unaoipa tumbo kazi ya ziada ya kusaga chakula
 
Epuka vyakula vya protein, wanga na fat.
Naomba unisaidie mbadala wake maana kwenye protini ninatumia sana samaki,nyama na dagaa kauzu na hapo kwenye wanga ninaumia sana dona na mchele.
 
Ninapata vizuri ila likianza tu kuunguruma elewa hata choo ya kwanza itakuja ngumu sana mithili ya jiwe na kuitoa nitapiga kelele
usiku huu usile chochote kesho amka na vidonge vya michango/minyoo kisha uje na feedback baada ya dozi kuisha.

maana najua hapo hta kijampo kitakua hakikatiki coz tumbo kuunguruma huambatana na gesi kujaa ambapo ili itoke lazima ujambe.
 
Back
Top Bottom