fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Mara nyingi tumbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ni aibu,hii inasababishwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MinyooMara nyingi timbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ninaibu,hii inasababishwa na nini?
Dalili za vidonda vya tumbo piaMara nyingi timbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ninaibu,hii inasababishwa na nini?
Mara nyingi timbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ninaibu,hii inasababishwa na nini?
NB:Lifokee liache kukuaibisha na uufuate ushauri wa kwenda hospitali.Nenda hospitali ya kueleweka
Vyakula unavyokula mkuu especially vyenye gesi, zingatia muda kula kwa wakati afu usile vyakula vya magengeni au vilivyopoaMara nyingi timbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ninaibu,hii inasababishwa na nini?
hayo yote uliyosema sifanyi,naishi na mie na sili nje ya nyumbaniVyakula unavyokula mkuu especially vyenye gesi, zingatia muda kula kwa wakati afu usile vyakula vya magengeni au vilivyopoa
(Ila mkuu nina waswasi kama ulitia mtoto wa mtu mimba ukamkimbia huenda hiyo ni karma🤣kama Ana mimba akipuu na nawewe tumbo linapuu)jokes
mayai sili but maharage nakuka na water nakunywa sanaUsikule mayai ya kuchemsha na maharage,kunywa maji na usisahau parachichi na ndizi mbivu.
sawaNB:Lifokee liache kukuaibisha na uufuate ushauri wa kwenda hospitali.
okDalili za vidonda vya tumbo pia
Kapime kwanza! Usifanye makisio nenda kwa wataalamuhayo yote uliyosema sifanyi,naishi na mie na sili nje ya nyumbani
Tatizo lako kuna pipe itakua inaingiza upepo,suluhisho la kudumu ni kujipaka sabuni kisha ukague pancha kama tunavyokagua kwenye mipira ya baisikeliMara nyingi tumbo langu huunguruma kama vile mtu anajamba,wakati mwingine nipo na watu basi ninaibu,hii inasababishwa na nini?
🤣Michezo hiyo kupenda visamvu tuTatizo lako kuna pipe itakua inaingiza upepo,suluhisho la kudumu ni kujipaka sabuni kisha ukague pancha kama tunavyokagua kwenye mipira ya baisikeli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Punguza kula viporo maana vinasababisha Gesi