daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Heshima kwenu wakuu
Mdogo wangu alifanyiwa operesheni mwaka jana mwezi wa kumi, sasa anasema tumbo lake limekuwa likimsumbua tokea mwezi Mei mpaka sasa
na amepewa dawa za minyoo ila hakukuwa na nafuu
jamani anaefahamu kwa kina suala hili/ aliye na ushauri naombeni msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu alifanyiwa operesheni mwaka jana mwezi wa kumi, sasa anasema tumbo lake limekuwa likimsumbua tokea mwezi Mei mpaka sasa
na amepewa dawa za minyoo ila hakukuwa na nafuu
jamani anaefahamu kwa kina suala hili/ aliye na ushauri naombeni msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app