johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo siyo mgeni wizarani hapo amekuwepo tokea muhula wa kwanza wa Rais Magufuli kadhalika Waziri wa maji Juma Awesu alikuwa Naibu waziri kwenye wizara hiyo.
Nimefuatilia ziara za mawaziri hawa mikoani na kushuhudia wakipiga mikwara mizito kusimamisha kazi na kutumbua kana kwamba wao ni mawaziri wapya kwenye wizara zao.
Ndio najiuliza ni kutafuta kiki au kukosekana wapinzani ni tatizo?
Maendeleo hayana vyama!
Nimefuatilia ziara za mawaziri hawa mikoani na kushuhudia wakipiga mikwara mizito kusimamisha kazi na kutumbua kana kwamba wao ni mawaziri wapya kwenye wizara zao.
Ndio najiuliza ni kutafuta kiki au kukosekana wapinzani ni tatizo?
Maendeleo hayana vyama!