Mama: Mume wangu unapenda kutumia kijiti cha meno ndio maana vinaisha haraka.
Baba: No mwanao Jose ndie anamaliza hivyo vijiti maana akishatumia anatupa mimi nikishatumia narejesha humo humo.
Mama: Mume wangu unapenda kutumia kijiti cha meno ndio maana vinaisha haraka.
Baba: No mwanao Jose ndie anamaliza hivyo vijiti maana akishatumia anatupa mimi nikishatumia narejesha humo humo.