Tumchukulieje baba huyu jamani?

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,567
Mama: Mume wangu unapenda kutumia kijiti cha meno ndio maana vinaisha haraka.
Baba: No mwanao Jose ndie anamaliza hivyo vijiti maana akishatumia anatupa mimi nikishatumia narejesha humo humo.
 
Mama: Mume wangu unapenda kutumia kijiti cha meno ndio maana vinaisha haraka.
Baba: No mwanao Jose ndie anamaliza hivyo vijiti maana akishatumia anatupa mimi nikishatumia narejesha humo humo.
Anajua mkewe hataki vijiti viishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…