Tume Huru itairejesha Tanzania mikononi mwa wananchi

Tume Huru itairejesha Tanzania mikononi mwa wananchi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Tume huru ndio kila kitu.
Itajenga Tanzania imara na itakayo ogopeka na kila mtu.

Tanzania itarudi mikononi mwa wananchi.

Uchaguzi ufanywe tume huru ndio iwe inaamua, kura itakua adhabu kwa viongozi wanaofanya Tanzania ni mali yao. Wabunge wasio na sifa wote wataenguliwa kwenye sanduku.
 
Tume huru ndio kila kitu.
Itajenga Tanzania imara na itakayo ogopeka na kila mtu.

Tanzania itarudi mikononi mwa wananchi.

Uchaguzi ufanywe tume huru ndio iwe inaamua, kura itakua adhabu kwa viongozi wanaofanya Tanzania ni mali yao. Wabunge wasio na sifa wote wataenguliwa kwenye sanduku.
BREAKING NEWS: RAIA ATEUA WATU 9 TUME HURU HADIDU ZA REJEA ZIFUATAZO: (1) IWE NDIYO KILA KITU (2) IJENGE TANZANIA IMARA ITAKAYOOGOPEWA NA KILA MTU (3) KUIRUDISHA TANZANIA MIKONONI MWA WANANCHI

MWENYEKITI - PROFESSOR ANTIPAS IDD LWAITAMA (BARA)
MAKAMO MWENYEKITI - FATUMA HUSNA KARUME FAKI (VISIWANI)
MJUMBE 1 - ASKOFU ANGANILE IPYANA BAGONZA (BARA)
MJUMBE 2 - SHEIKH MSELEM FAREED MISHEPO (VISIWANI)
MJUMBE 3 - MAKAMO WA KWANZA WA IFOZA (VISIWANI)
MJUMBE 4 - JESCA "MDUDE" SHOO (BARA)
MJUMBE 5 - DR. MWAJABU HAJI MCHA (VISIWANI)
MJUMBE 6 - MHANDISI GEOFFREY NZOBEYAZA (BARA)
KATIBU - ZAKHIA JAMES MVIRINGO (DIASPORA CINCINNATI, OHIO)
MSHAURI (HANA KURA): aka MENEJA WA MAKAMPUNI (JAMIIFORUM)

These are first class brains, independent-minded, objective patriots all. Well balanced in terms of gender, religion, professions, na pande za muungano.
 
Acheni kudanganyana, aliyekuwa na nia ya dhati ya kuijenga Tanzania ni Magufuli peke yake.
Tume huru ndio kila kitu.
Itajenga Tanzania imara na itakayo ogopeka na kila mtu.

Tanzania itarudi mikononi mwa wananchi.

Uchaguzi ufanywe tume huru ndio iwe inaamua, kura itakua adhabu kwa viongozi wanaofanya Tanzania ni mali yao. Wabunge wasio na sifa wote wataenguliwa kwenye sanduku.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom