Tumekuwa tukiwasikia viongozi wa Vyama vya Upinzani wakidai Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 uwe wa haki na huru. Sasa najaribu kutafakari, hawa vyama pinzani wataona uchaguzi wa 2020 kuwa upo huru na haki endapo watausimamia wenyewe?
Maana inafahamika sheria na taratibu za uchaguzi zilivyo na katiba yetu inajieleza pia. Jamani wakati mwingine tufikie hatua tukubaliane na utaratibu tuliojiwekea wenyewe na hata Rais Magufuli ameuthibitishia umma kuwa uchaguzi 2020 utakuwa wa huru na haki, tuelewe tu na kuaminiana.
Wapinzani wasije wakaona uchaguzi 2020 amechaguliwa Magufuli tena, wakaanza na mambo yao ya kusema uchaguzi haukuwa wa uhuru na haki,watambue tu Magufuli anapendwa na kila rika.
Maana inafahamika sheria na taratibu za uchaguzi zilivyo na katiba yetu inajieleza pia. Jamani wakati mwingine tufikie hatua tukubaliane na utaratibu tuliojiwekea wenyewe na hata Rais Magufuli ameuthibitishia umma kuwa uchaguzi 2020 utakuwa wa huru na haki, tuelewe tu na kuaminiana.
Wapinzani wasije wakaona uchaguzi 2020 amechaguliwa Magufuli tena, wakaanza na mambo yao ya kusema uchaguzi haukuwa wa uhuru na haki,watambue tu Magufuli anapendwa na kila rika.