Tume ya ajira, janga lingine kwa vijana.

Tume ya ajira, janga lingine kwa vijana.

Any way, inaonekana kuna ukweli ndani yake, hebu tufafanulie na hili ni ukweli kwamba hawa wanaoitwa kwa interview unakuta wako 700 wanafanya interview wanaandikaka page tatu baada ya nusu saa wanamark nakuwapa majb? 700 kwa pg 3 kwa dk 30?
 
Unfortunately nadhani mleta mada hajui kazi ya tumeajira na jinsi gani wanaingiliana kazi na idara nyingine za serikali

Kama kweli unafuatilia Kazi na products zao, i think they have done alot na kazi zinazokua za kindugu zaidi ni zile zisizopitia kwao ( za parastatals nk) mfano BOT, NSSF, PPF, BIMA,

ufinyu wa upeo. Hiv unafikiri kwamba watu hawajui kinachoendelea. Watu zaidi ya 700 wanafanya mtihani wanamaliza saa saba. Saa kumi na moja taraya wameshasaisha wamepanga wameingiza kwenyd tovuti. Ukiangalia ulicho fanya marks ni irrelevant. Anather breucratic insititution created to protect interest of gvt leaders
 
sheria ya ajira na kaz ya mwaka 2004 inaruhusu applicant ambaye anahisi amebaguliwa kulingana na ground zilizotolewa kuchukua hatua kisheria. Hii sasa inabidi iwe hatua sasa
 
ufinyu wa upeo. Hiv unafikiri kwamba watu hawajui kinachoendelea. Watu zaidi ya 700 wanafanya mtihani wanamaliza saa saba. Saa kumi na moja taraya wameshasaisha wamepanga wameingiza kwenyd tovuti. Ukiangalia ulicho fanya marks ni irrelevant. Anather breucratic insititution created to protect interest of gvt leaders
Mkuu, assume tungekua hatuna tumeajiri, nani angecontrol level ya ***** katika halmashauri zetu??? Hivi unajua kwamba hali ni mbaya sana huko local government???

Kuhusu ufinyu wa upeo, nadhani wewe na wa kwenu wote ndio mna ufinyu wa upeo, sio kila mnaetofautiana mtazamo ana ufinyu wa mawazo... kuhusu marks, sikutaka marks na sitegemi marks kwenye hoja na mijadala

as for bureaucracy, yes, but with the current local governments, i would let them hire - tungerudi kulekule, kwa kwimba anaajiri wakwimba, wa namtumbo anaajiri namtumbo nk

mbege.jpg
 
Mkuu, assume tungekua hatuna tumeajiri, nani angecontrol level ya ***** katika halmashauri zetu??? Hivi unajua kwamba hali ni mbaya sana huko local government???

Kuhusu ufinyu wa upeo, nadhani wewe na wa kwenu wote ndio mna ufinyu wa upeo, sio kila mnaetofautiana mtazamo ana ufinyu wa mawazo... kuhusu marks, sikutaka marks na sitegemi marks kwenye hoja na mijadala

as for bureaucracy, yes, but with the current local governments, i would let them hire - tungerudi kulekule, kwa kwimba anaajiri wakwimba, wa namtumbo anaajiri namtumbo nk

View attachment 69009

We unatumia kibuyu kufikiri
Mmeamua kuajiri hapo Tume ili kutengeneza njia nyeupe kwa mabwana zenu wanasiasa kuwaingiza vimada na shemeji zenu!!!

Angalia utumbo wa majibu unayotujibu?!!! Wafanyakazi wengine ni janga la Taifa, bora usingesoma!!!
 
We unatumia kibuyu kufikiri
Mmeamua kuajiri hapo Tume ili kutengeneza njia nyeupe kwa mabwana zenu wanasiasa kuwaingiza vimada na shemeji zenu!!!

Angalia utumbo wa majibu unayotujibu?!!! Wafanyakazi wengine ni janga la Taifa, bora usingesoma!!!

kwi kwi kwi kwi,

Kumbe nimeshapata ajira serikalini, LOL

Sasa namtengenezea njia bwaba'angu yupi mkuu... ?? maana kama ni matusi tu, hapa yapo!!!

Ulishapata mme wa kuzaa nae?? maana nimeona kule unahangaika sana.... taratibu mkuu!!
 
Ndugu yangu nakumbuka mwezi wa tano 2012 walitangaza nafasi zaidi ya elfu mbili ktk vitengo mbalimbali kukiwemo SIDO,NEMC n.k lakini inashangaza sana kuona wanaendelea kuinterview nafasi za hivi punde hizo zingine vp au ndo kama ulivyosema watu wameshaajiriwa kimya kimya?
 
Hamu ya kazi, maisha magumu, njaa, vinasababisha mtindio wa ubongo. Unataka ajira ziratibiwe na nani? Madiwani? Hr mikoa
 
Naomba vijana wenzangu tupunguze jazba na maneno makali au matusi hayasaidi kutupa ajira serikalini au katika sekta binafsi maana hakuna mwajiri atakayetaka kuwa na wafanyakazi wasio na nidhamu.

Pia naomba tuelimishane vyema hata huku kwenye mitandao ya kijamii tunakojidanganya kutukana na kuchafuliana bado watu wanaweza kukutafuta na kukufahamu sasa hapo utu wako na thamani yako hushuka pasipokuwa na sababu za msingi na ndio maana wale wanaozidi kutusi wengine kuna wakati uongozi wa jamii forum huwafungia kwa muda au jumla ili wengine tujifunze, japo naeewa baadhi yetu lugha zisizo na staha ni utamaduni tuliojijengea yaani mtu mzima na elimu yake kichwani akimaliza siku ajatukana hana raha au anakosa usingizi.

Sasa nieleze kilichonifanya niandike ni kuwa sekretarieti ya ajira ninavyoifahamu hata kama sifanyi kazi huko ila nikiwa kama mtumishi wa umma na mfuatiliaji mzuri wa masuala ya ajira nchini ni kuwa sifa zako za elimu na kutii vigezo vya masharti ya kazi yaliyotolewa katika tangazo la kazi ndio vitakufanya uitwe katika usaili.

Hawaangalii wewe ni mtoto wa kigogo, hawaangalii dini yako wala kabila? Hivyo mawazo hayo tuyafute akilini, wao wanachokiangalia ni elimu inayotakiwa na utimize masharti kama umeambiwa peleka vyeti halisi (original certificates) na wewe unapeleka original lakini vya kughushi unategemea wakupe kazi kazi kweli? Wakati wao wameshasema wewe ukighushi vyeti watajua kwani wanafanya kazi kwa kushirikiana na taasisi nyingine kama necta yaani baraza la mitihani tanzania, tcu - hasa kwa wale waliosoma vyuo vya nje ya nchi ili kujua uhalali wa vyuo na vyeti vyao, vyuo vya ufundi kwa fani kama vile madereva ili mtu asijekusema yeye ni dereva kumbe anacheti cha kununua kuanzia cha elimu ya kidato cha nne na udereva kajifunzia gari la mjomba kesho apewe gari la serikali manual akaliangushe mtoni kw akuzoea automatic.

Pia kuhusu nafasi za kazi kama kweli mnawafuatilia utaona wameanza kutangaza kuita watu kwenye usaili tangu mwezi wa saba yaani julai kwa awamu kila wakimaliza awamu fulani wanaita watu wengine maana tutambue tanzania ya leo si ile ya mwkaa 47 iliyokuwa na wasomi wachache na wengi wao wanatoka chuo kikuu cha dar es salaam pekee lakini leo kuna maelfu ya wasomi waomaliza vyuo kila mwaka na vyuo vimeongezeka viko zaidi ya 50 hivyo kazi inapotangazwa mfano kazi tano tofauti wanaweza kuomba watu zaidi ya elfu hamsini 50,000 sasa hao wote unategema waitwe kwa siku moja? Inabidi nguvu ya ziada itumike kuwaitwa kwa mafungu kadri michakato inavyokamilika.

Na tujue zoezi la kuendesha mchakato wa ajira ni la gharama kubwa lenye kuitaji fedha za kutoa matangazo, kuandaa kumbi, stationary, vikao, na muda wa kutosha kuainisha mchakato wote sio zoezi la kufanya ndani ya wiki mbili watu wakapata majibu ila mkitaka wafanye kama tunavyotaka watafanya kama ule mtindo wa zamani kwa baadhi ya ofisi za umma za kuwekana watoto wa wajomba alafu ndio tulie zaidi maana hao huhitaji kukagua vyeti wala nini?

Mwisho, naomba niipongeze sekretarieti ya ajira kwa ubunifu walau hivi sasa wamekuwa wakifanya mazoezi ya usaili walau kulingana na adress mtu ulizoandika kama umeonyesha anwani yako uko mbeya au kigoma au dar wakati ulipotuma maombi ya kazi basi jua utafanyia usaili hukohuko ingawaje sio kwa kazi zote naomba nieleweke ila nyingi hasa hizi za chini hilo limefanyika na nimeliona na kama mnabisha angalieni sasa hivi zilizoko kwenye mtandao wao mtaona wamepangwa mafungu kulingana na anwani zao huo ni utafiti wangu mdogo nilioweza kuufanya.

Mwisho nawaomba wawe wanatupa walau maji pale wanapotubwaga kwenye chumba cha usaili kama uwezo unaruhusu waweke dispensa walau mbili na madumu ya lita kumi kadhaa na vikombe vya disposable, ikishindikana basi ya box.
 
duh,kweli na wewe una mikosi,zote hizo na hakuna hata moja uliopata?:target::target::target:
acha hizo mkuu mimi mbona nimeshaitwa kwenye interview nying tu za utumishi! kuanzia april mpaka leo kama 5 hivi
au wewe uliomba ukurugenzi mkuu!
 
duh,kweli na wewe una mikosi,zote hizo na hakuna hata moja uliopata?:target::target::target:
sidhani kama ni mkosi maana!nilizo attend ni mbili tu na zote nilifika mpaka interview ya mwisho! alafu nyingine nilipotezea kwenda sababu ya packages na reputation ya hiyo institution,seniority level
maana sehemu niliyopo sasa nikihama ni kama najishusha hadhiii! kwenda kuanza na tgs E au pgss 10 hiyo nilevel ya fresh graduate
alafu usidanganye watu ukitegemea ukiitwa nyingi ndo utapata kazi! maana niliudhuria moja ambayo walishort list more than 300 interviewers na short list ya pili tuka baki sita tu!
nilikutana na watu wamefanya zaidi ya kumi bila kupata
 
Back
Top Bottom