Tume ya haki jinai waliomo hawajui majukumu yao.

Tume ya haki jinai waliomo hawajui majukumu yao.

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Juzi nilimsikiliza mwenyekiti wa tume ya haki jinai akijibu mapigo baada ya tume hiyo kulalamikiwa, pamoja na kumsikiliza mpaka mwisho alichokuwa anakisoma kwa kubabaika, hakuna mahali alisoma mafafanikio waliyoyapata zaidi ya kutujulisha majukumu ya tume! Hii inamaana wako ofisini wanekaa wanapigiana simu kufanya vikao tu, ukweli tume hii haina faida kwa wananchi, ni hasara kwa walipa kodi.
 
Tume za JPM zilikuwa za kutafuta namna ya kufaidika na rasilimali zilizopo nchini Tz. Tume za SASHA ni za kutubembeleza. Muda unakimbia sana.
 
Taifa lina matumizi mabaya ya pesa ya umma,kwenye mambo yasiyo na tija kwa nchi,bali kuwapa mlo kundi la wafaidika na keki ya taifa.
 
Back
Top Bottom