Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kisipofanyika kitu kosa la nani !.shida ya hii nchii baada ya icho kikaoo amn kitu kitafanyika
ccmπKisipofanyika kitu kosa la nani !.
Una hojashida ya hii nchii baada ya icho kikaoo amn kitu kitafanyika
Ngoja tuoneKwahiyo Afande Awadh atawajibishwa?!
Chama Cha mabeberuccmπ
Hao wajumbe wa tume ni Wa TZ?Taarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755
Heading ni tofauti na contents. Tume ya Haki Jinai ni kitu kimoja na Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora ni kitu kingine!.Taarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755
Ni Makosa ya uandishi tu, Wakubwa wanaweza kurekebishaHeading ni tofauti na contents. Tume ya Haki Jinai ni kitu kimoja na Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora ni kitu kingine!.
All and all, hii ni hatua muhimu sana kwa mganga kufuata mgonjwa, hivyo Tume imekuwa proactive rather than being reactive.
Huu ni mwanzo mzuri.
P
Wajumbe wa hiyo tume ni akina nani na je, mifukoni mwao hawana kadi za CCM?Taarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755
HIYO TUME NI YA SAMIA? KAMA NI YA SAMIA IS A WASTAGE OF TIME NA KUCHAFUA JENGO LA CHAMAshida ya hii nchii baada ya icho kikaoo amn kitu kitafanyika
ππππHIYO TUME NI YA SAMIA? KAMA NI YA SAMIA IS A WASTAGE OF TIME NA KUCHAFUA JENGO LA CHAMA
Mungu Ibariki CHADEMATaarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755
Hii inahusiana vipi na Tume ya Haki za BinadamuTaarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755