Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeomba Moderator atusaidie kurekebishaHii inahusiana vipi na Tume ya Haki za Binadamu
Hiyo tume haina meno, leo nilikuwa namsikiliza mwenyekiti wa hiyo tume, niligundua ni tume ya kupima upepo tu lakini haina msaada wowote.Taarifa ikufikie popote Ulipo kwamba Viongozi wa Chadema, leo Wamekutana na Jopo la maofisa wa Tume ya Haki Jinai kwenye Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni, Dar es Salaam
Taarifa Kamili Hii hapa
View attachment 3080753View attachment 3080754View attachment 3080755
AmenMungu Ibariki CHADEMA
Ndio nilikuwa napiga hizo pichaMbona we haupo?
Ila imesaidia mpaka waziri wa mambo ya ndani kaitisha kikao Dodoma na mapolisiHiyo tume haina meno, leo nilikuwa namsikiliza mwenyekiti wa hiyo tume, niligundua ni tume ya kupima upepo tu lakini haina msaada wowote.
Wanaoifilisi NHIF , wao wakiugua ni SA au kwingineko, lakini aliye changia ataambiwa bando limeisha - lakini aliyesababisha bando lake haliishi
Powa ila nilikuwa nauliza tu kama kuna Tume mbili tofauti? Hii ni ya Haki ya Jinai maana yake ni (Criminal Justice)na kazi yake ni nini ambayo yaifanywi na ile ya Haki za Binadamu.Tumeomba Moderator atusaidie kurekebisha
Tume ya Haki Jinai ile ya akina Othman Chande ipo na hii ya Haki za Binadamu na Utawala Bora pia ipo, sijui zinatofautiana kwenye niniPowa ila nilikuwa nauliza tu kama kuna Tume mbili tofauti? Hii ni ya Haki ya Jinai maana yake ni (Criminal Justice)na kazi yake ni nini ambayo yaifanywi na ile ya Haki za Binadamu.
Inanikumbusha kile kitendawili "kulikuwa na baba wawili na watoto wawili, je kulikuwa na watu wangapi"...Tume ya Haki Jinai ile ya akina Othman Chande ipo na hii ya Haki za Binadamu na Utawala Bora pia ipo, sijui zinatofautiana kwenye nini
Tume ya Haki Jinai ile ya akina Othman Chande ipo na hii ya Haki za Binadamu na Utawala Bora pia ipo, sijui zinatofautiana kwenye nini
which is which? haki jinai au haki za binadamu?Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora