Tume ya katiba yawahujumu wakatoliki;kura za kuchagua wajumbe wa mabaraza ya katiba wilaya kupigwa

Status
Not open for further replies.
akili yako ndogo sana.ni waanglikana tuu wanaotambua siku hizo ukiwaacha wakatoliki
Kama pasaka kwa mkatoliki muhimu kuliko katiba sasa wengine wafanyeje. Ijumaa wenzetu siku yao ya sala ila ni siku ya kazi sasa wewe mkatoliki nenda kasali sisi tutaendelea na mchakato.
 
Hakuna ubaguzi, Mtume alituaguza nendeni mkafanye biashara, kisha mchana mkaswali
 
Kwani Pasaka ni ya Wakatoliki tu? Hivi madhehebu mengine ya Kikristu hawana Pasaka?. Heading yako imekaa kibaguzi.
Mtu unapokuwa na Udini unakuwa kipofu. Hata mambo ambayo ni wazi kabisa huyaoni. Inaelekea hata uelewa wa dini ni mdogo. Acha Udini na pia acha kujikweza. Mfuasi yeyote wa Yesu Kristo anatunza matukio yote ya Pasaka. Katiba haina uhusiano na hujuma kwa Wakatoliki wala thread yako haina mshiko heri upokee ushauri wa wenzio kuliko kuwa mbishi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…