Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata 23 za Tanzania Bara

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye kata 23 za Tanzania Bara

Naamini hizo kata 23 zimekuwa bila madiwani kwa miezi mingi zaidi ya hii iliyobaki kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa kufanyika nchini, hizi sheria nyingine ndio zinasababisha tupigwe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hata usingefanyika pia mngelaumu.

Kuongoza Watanzania ni tabu sana.

Wakati mwingine ni bora kunyoosha tu kwamba tunafanya uchaguzi mdogo na sababu kuu ni MATAKWA YA SHERIA mpende mkatae.
 
Hivi vipengele ndivyo vilitakiwa vifanyiwe marekebisho,imebaki mwaka mmoja tu tufanye uchaguzi mkuu kwa nini tusisubili uchaguzi mkuu na nafasi zao zikashikiliwa kwa muda na makatibu kata ili kuepusha matumizi mabaya ya pesa za uma
 
Back
Top Bottom