Naamini hizo kata 23 zimekuwa bila madiwani kwa miezi mingi zaidi ya hii iliyobaki kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa kufanyika nchini, hizi sheria nyingine ndio zinasababisha tupigwe.
Hivi vipengele ndivyo vilitakiwa vifanyiwe marekebisho,imebaki mwaka mmoja tu tufanye uchaguzi mkuu kwa nini tusisubili uchaguzi mkuu na nafasi zao zikashikiliwa kwa muda na makatibu kata ili kuepusha matumizi mabaya ya pesa za uma