Wewe unajua hasara ya kuwapata viongozi wasiofaa ambao hawakuchaguliwa na wananchi?Kuongeza gharama tu
Move nzuri..hapa kidogo itaonyesha inajitegemea..tutoke sasa twende kwenye namna ya kuwapata hao viongozi wake..na itaundwa kwa muundo gani toka juu mpaka kwenye kata.NEC Ili iweze kutenda haki na kulaumiwa kama haijatenda haki ni lazima kuondoa watumishi wa serikali hasa wakurugenzi na watendaji.wa kata na watumishi wengine. Tume lazima iajiri watumishi wake.
Hapo sasa !! Kazi kweli kweli !!!Huo ufumuaji hautakuwa na maana kama mamlaka ya uteuzi wa mwenyekiti wa tume itabaki ile ile.
Nimeipenda sentensi moja ya kupeana vyeo kwa upendeleo !! Naona hii imeshaota mizizi !! Kazi kweli kweli !!Wewe unajua hasara ya kuwapata viongozi wasiofaa ambao hawakuchaguliwa na wananchi?
Unajua Taifa limepoteza kiasi gani kwa miaka 6 iliyopita....
Hujaelewa, kufumuliwa ifumuliwe lakini sio kwa utaratibu wa kuajiri kuanzia mtaa, we unategemea ni watumishi wangapi wataajiriwa nchi nzima. Hapo ndio nnapokataa. Ni Kama leo TRA iajiri kuanzia mtaa. Yaani kuwe na ofisi ya mtaa, kata,Wewe unajua hasara ya kuwapata viongozi wasiofaa ambao hawakuchaguliwa na wananchi?
Unajua Taifa limepoteza kiasi gani kwa miaka 6 iliyopita:
Ukuaji wa uwekezaji kudondoka toka 28% mpaka 4%.
Ukuaji wa utalii kudondoka toka 15% mpaka 3.6%.
Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo kudondoka kwa 50%
Watu kuuawa
Watu kutekwa
Watu kubambikiwa kesi
Kuwapa watu vyeo kwa upendeleo, watu wasio na uwezo wowote zaidi ya kujipendekeza na kufoka?
π€£π€£π€£Ila wasimtoe "baba" wa demokrasia bwana Mahera.πππππ
Huyu Mgombea alikuwa anagombea jimbo gani?π€£π€£πππ
View attachment 2183562
Si wamrudishe UDSM alikokuwa anafundisha kabla ya kuwa Mkurugenzi Arusha!Dk. Charles Wilson Mahera ( aliyekuwa Mtu wa Hayati Rais Dkt. Magufuli Kiukaribu na Kiutii ) hatakiwi tena hapo, ila huenda bado wanatafakari ni wapi wampeleke Kiuteuzi kama akiondolewa katika hiyo Nafasi Muhimu na Nyeti katika Maamuzi ya Afya ya Kisiasa, Kiusalama na Kidemokrasia nchini.
Kwa Hadhi alyokuwa nayo hapaswi kurejea tena huko UDSM na Nafasi ambazo labda zinamfaa ni za Uteuzi wa kuwa Balozi au Mkuu wa Bodi, Taasisi au Ubunge ili baadae aje kuwa Waziri aweze kutumika Kiufanisi zaidi kama tu itampendeza Rais aliyeko.Si wamrudishe UDSM alikokuwa anafundisha kabla ya kuwa Mkurugenzi Arusha!
π π π π π π π π π π π π π π π ππππ
View attachment 2183562
Mwalimu anatakiwa awe mfano mzuri kwa wanafunzi wake !!Si wamrudishe UDSM alikokuwa anafundisha kabla ya kuwa Mkurugenzi Arusha!
Kama watalipwa na serikali,itatafsirika vipi kuwa so watumishi wa serikali!?NEC Ili iweze kutenda haki na kulaumiwa kama haijatenda haki ni lazima kuondoa watumishi wa serikali hasa wakurugenzi na watendaji.wa kata na watumishi wengine. Tume lazima iajiri watumishi wake.
Hao watumishi wa nec watakuwa ni vijana wa tisa wakipokea maelekezo ya chamaView attachment 2183424
===
- Kuajiri watumishi wake hadi ngazi ya Wilaya, kata
- Sasa rasmi kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa
- Mapendekezo ya muundo wake yasubiri wadau
Kwa mujibu wa Gazeti la Raia Mwema la Aprili 11, 2022 ni kuwa kuna uwezekano mkubwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuundwa upya kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Aidha, gazeti hilo linaelezwa kuwa taarifa za ndani ya Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kikosi kazi zinaeleza kuwa tayari mapendekezo ya kuunda upya kwa NEC yameshawasilishwa kwa Rais Samia na ndani ya muda mfupi chombo hicho kitaundwa upya.
Zaidi ya hayo, inaelezwa kuwa kiongozi Mwandamizi ndani ya CCM alieleza kuwa Tume ya Uchaguzi iliyopo sasa imeonekana machoni mwa watu kuwa imeshindwa kusimamia uchaguzi hasa kutokana na muundo wake uliopo kwa sasa, hivyo kikosi kazi kimependekeza Tume hiyo iwekewe Muundo mpya ikiwamo watendaji wake.
Taarifa juu ya kufumuliwa kwa Tume ya Uchaguzi zinakuja baada kuwapo malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali juu ya Muundo wa NEC pamoja na Mamlaka ya Tume hiyo kushindwa kusimamia Uchaguzi Huru na Haki.
Zaidi kuhusu taarifa hizi soma hapa chini
View attachment 2183528
View attachment 2183541
View attachment 2183542
View attachment 2183543
Chanzo: Raia Mwema