Uchaguzi 2020 Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), nawasihi, kupitisha jina la Lissu kugombea Urais, ni kuweka rehani Amani na Usalama wa Taifa

Naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
Wacheni kulia lia. Wacheni dawa iwaingie kisawa sawa
 
Hutuwezi kufanya uchaguzi na kibaraka ,huyo akagombee Belgium tu,afterall pesa ya uchaguzi si ya mabeberu
 
Shibuda na Lipumba juzi wamechukua pesa toka CCM kwa mijubu wa dalali wa CCM Le mutuz ambaye kala 10% cha juu, wapo wana vikao vya kujiandaa kwenda kuweka pingamizi kwa Tundu lisu ni aina ya ushetani na roho mbaya zilizosalia Tanzania tu, Nchi imegeuka kuwa ya vioja visivyo na tija
 
Wanaliokoa taifa,acha ufala wewe mnyoo
 
Minyoo dawa yake ni bendazoni tu,kunywa utapona
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho na nilijua hilo nimekutegea na kweli umeingia kwenye mtego, kipimo cha ufala ujuha ubwege upumbavu hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, Mbona ID yako ni ya kishamba toka kolomije lakini hakuna mwenye mda wa kuhangaika nayo, humu ni hoja siyo ID acha ufala wewe mbweha hizo roho mbaya za kumuombea Tundu lisu Dua za kiwendawazimu zitakurudia wewe mwenyewe utajikuta unapewa mimba na Cyprian Musiba unaposhinda ukivuta Bangi.
 
Hayo mamlaka ya kushauri unayatoa wapi, kwa mzinu wa babu yako bibi yako, kachambe ulale
 
Wewe ni jinsia ya KE?,si kwa hii mipasho
 
Ikulu sio maabara ya biology haitumiki kufanya experiment, tunapeleka mtu ikulu tulie na uhakika na kazi yake, sio Lissu asiyekuwa na rekodi yeyote ya utendaji kazi
we mzeee wa bangi we ivi unajuwa kama ccm huu ni mwaka takriban wa 60 kutawala Tanzania haya tutajiye hayo mafanikiyo ya miaka 60 ya utawala wa ccm PLEASE TUTAJIYE PLEASE
 
Hutuwezi kufanya uchaguzi na kibaraka ,huyo akagombee Belgium tu,afterall pesa ya uchaguzi si ya mabeberu
Huwezi kufanya uchaguzi na nani? Watanzania wapi unawasemea? au hao unaovuta nao Bangi? Wewe ndiyo kibaraka wa chato kagombee huko ulipojenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, mkienda kuomba omba misaada kwa wazungu nyinyi CCM huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM mnakimbilia kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi ni CCM ni mbuzi jike.
 
Vipi kuhusu yule aliyesema Ole wake Mkurugenzi yoyote atakayemtangaza Mpinzani mshindi huyu tume imfanyeje ndugu? tunaomba majibu
 
we mzeee wa bangi we ivi unajuwa kama ccm huu ni mwaka takriban wa 60 kutawala Tanzania haya tutajiye hayo mafanikiyo ya miaka 60 ya utawala wa ccm PLEASE TUTAJIYE PLEASE
CCM ndio imekufanya uvimbewe na kuleta huu uharo wako ,bila CCM ungekuwa gay tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…