Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yatuhumiwa kubadilisha namba za Wapiga kura ili wakose haki ya kupiga kura

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yatuhumiwa kubadilisha namba za Wapiga kura ili wakose haki ya kupiga kura

Tunashukuru kwa utetezi wako, ila taka usitake idadi ya wapiga kura ya 29m+ ni ya kupika. Watanzania tuko 59m+, hakuna uwezekano wowote nusu yake wakawa wamejiandikisha kupiga kura. Na lengo la kupika hiyo idadi ni ili kupika matokeo ya kuinufaisha ccm. Kwa msisitizo huu huu ulionyesha hapa, waambie tume kuwa tunajua fika hiyo idadi ya wapiga kura ni ya kupika.
Mkuu mimi issue ya wapiga kura wapo wangapi kwa kweli sifahamu ni jukumu la vyama vya siasa kufatilia hilo
 
Salaam Wakuu,

Baadhi ya Wapiga kura, wamelalamikia tume ya Uchaguzi Tanzania kwa kubadilisha namba zao kwenye daftari la kudumu la Wapiga kira.

Wamekua wakiondoa au kuongeza baadhi ya tarakimu ili kuleta udanganyifu na Upotoshaji.

Hii inafanywa ili kuhakikisha watu hawapigi kura siku ya Uchaguzi.

Mchezo huu umefanywa hasa sehemu zinazoongozwa na Upinzani.

Hapa chini nmeweka mfano, na napenda NEC iueleze Umma, ni vipi namba zinaonekana kukolezwa wino?

Tadei S Msamba ukiangalia namba yake ya kitambulisho, kisha ukaangalia kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura, namba zinebadikishwa. Angalia mtu wa kumi kwenye Daftari.

Je, hii ina maana gani?

View attachment 1548219View attachment 1548220
Nafikiri watanzania lazima tufanye kitu huu ushenzi umezidia sasa.
 
Salaam Wakuu,

Baadhi ya Wapiga kura, wamelalamikia tume ya Uchaguzi Tanzania kwa kubadilisha namba zao kwenye daftari la kudumu la Wapiga kira.

Wamekua wakiondoa au kuongeza baadhi ya tarakimu ili kuleta udanganyifu na Upotoshaji.

Hii inafanywa ili kuhakikisha watu hawapigi kura siku ya Uchaguzi.

Mchezo huu umefanywa hasa sehemu zinazoongozwa na Upinzani.

Hapa chini nmeweka mfano, na napenda NEC iueleze Umma, ni vipi namba zinaonekana kukolezwa wino?

Tadei S Msamba ukiangalia namba yake ya kitambulisho, kisha ukaangalia kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura, namba zinebadikishwa. Angalia mtu wa kumi kwenye Daftari.

Je, hii ina maana gani?

View attachment 1548219View attachment 1548220
Namba za tume kuandikwa kwa mkono kweli
 
saivi ni matokeo ya NEC 18 na upinzani 0, apo bado policcm na CCM yenyewe mwaka huu upinzani atarudi MSIGWA tu bungeni
 
Salaam Wakuu,

Baadhi ya Wapiga kura, wamelalamikia tume ya Uchaguzi Tanzania kwa kubadilisha namba zao kwenye daftari la kudumu la Wapiga kira.

Wamekua wakiondoa au kuongeza baadhi ya tarakimu ili kuleta udanganyifu na Upotoshaji.

Hii inafanywa ili kuhakikisha watu hawapigi kura siku ya Uchaguzi.

Mchezo huu umefanywa hasa sehemu zinazoongozwa na Upinzani.

Hapa chini nmeweka mfano, na napenda NEC iueleze Umma, ni vipi namba zinaonekana kukolezwa wino?

Tadei S Msamba ukiangalia namba yake ya kitambulisho, kisha ukaangalia kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura, namba zinebadikishwa. Angalia mtu wa kumi kwenye Daftari.

Je, hii ina maana gani?

View attachment 1548219View attachment 1548220
Msisitizo wangu ni ule ule, hawa watu wanatakiwa kuwajibishwa!
Nategemea chadema sasa mtaamka, ninyi na watanzania kwa ujumla, siku wakiwa ardhini kama 700 au 1000 hivi akili zitawarudia, watanzania wataheshimiana.
 
Salaam Wakuu,

Baadhi ya Wapiga kura, wamelalamikia tume ya Uchaguzi Tanzania kwa kubadilisha namba zao kwenye daftari la kudumu la Wapiga kira.

Wamekua wakiondoa au kuongeza baadhi ya tarakimu ili kuleta udanganyifu na Upotoshaji.

Hii inafanywa ili kuhakikisha watu hawapigi kura siku ya Uchaguzi.

Mchezo huu umefanywa hasa sehemu zinazoongozwa na Upinzani.

Hapa chini nmeweka mfano, na napenda NEC iueleze Umma, ni vipi namba zinaonekana kukolezwa wino?

Tadei S Msamba ukiangalia namba yake ya kitambulisho, kisha ukaangalia kwenye daftari la kudumu la Mpiga kura, namba zinebadikishwa. Angalia mtu wa kumi kwenye Daftari.

Je, hii ina maana gani?

View attachment 1548219View attachment 1548220

Aliyefanya hivi anatakiwa afungwe.

Amandla...
 
Back
Top Bottom