Wew sio kila kitu ni form wengine wameamua kuuza jimbo kwa kufanya vituko ili waonekane kuan shida mwingine kuchukua form warudishe wakati ofisi imefungwaDah hii ni hatar sana,inamaana wagombea wa ccm wajua zaid kujaza fomu ya uchaguzi kuliko vyama vingine? Hii hujuma hata mpumbavu anajua tu kuwa kunamchezo umechezwa
Yaani Magufuli katengenezea njia watu wa kumsaidia kwenye kampeni
January, Nape na kabudi mwaka huu watalala na viatu.
Lissu atawatesa Sana na kesho tunaanza maandamano kwenye Majimbo yenu hakuna Cha kupita bila kupingwa.
Mngeanza na Jiwe aliyeshindwa kujaza form ningewaelewa
Uhuni sasa basi.....
Lowassa pamoja na uzito wake wa kushindwa kujieleza jukwaani aliweza kupata kura nyingi kumzidi Magufuli.
Baada ya tume kupindua matokeo ndipo jamaa yenu akatangazwa mshindi,mwaka huu mnalo.
Leta picha tu za hayo maandamanoYaani Magufuli katengenezea njia watu wa kumsaidia kwenye kampeni
January, Nape na kabudi mwaka huu watalala na viatu.
Lissu atawatesa Sana na kesho tunaanza maandamano kwenye Majimbo yenu hakuna Cha kupita bila kupingwa.
Mngeanza na Jiwe aliyeshindwa kujaza form ningewaelewa
Uhuni sasa basi.....
Dah hii ni hatar sana,inamaana wagombea wa ccm wajua zaid kujaza fomu ya uchaguzi kuliko vyama vingine? Hii hujuma hata mpumbavu anajua tu kuwa kunamchezo umechezwa
Chama cha Demokrasia Bandia1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
View attachment 1551183
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Givness Aswile na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
======
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020
View attachment 1551101View attachment 1551102
tatizo sio kihalali!Ushindi ni asilimia 98
Kuna siku mliwahi kusema ni halali?Anaposhinda Mbowe kule Hai uchaguzi unakuwa halali ?tatizo sio kihalali!
Hawa nao hawana tofauti na TBC!!
Kiukweli EL aliitikisa ngome ya CCM 2015 ilihitajika kazi ya ziadaKweli mkuuView attachment 1551368
Nini kinazuia kupindua matokeo mwaka huu??Lowassa pamoja na uzito wake wa kushindwa kujieleza jukwaani aliweza kupata kura nyingi kumzidi Magufuli.
Baada ya tume kupindua matokeo ndipo jamaa yenu akatangazwa mshindi,mwaka huu mnalo.
Baada ya uchaguzi huu upinzani unaenda kusahaulika TanzaniaKiukweli EL aliitikisa ngome ya CCM 2015 ilihitajika kazi ya ziada
Motogoro wamejawa na unafiki na ndio kinachowacostMorogoro kunani?! Majimbo matano ni mengi sana kuachiwa kirahisi hivi.