Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Ratiba rasmi ya NEC toleo la 5 la Octoba 2 mwaka huu, inaonesha namna wagombea wa vyama vyote sehemu wanazotakiwa kuwepo kwenye mikutano rasmi ya kampeni. Lakini kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa ratiba hiyo kwa upande wa CCM na mgombea wake. NEC inaonesha kuigwaya CCM na mgombea wake.
Mara kadhaa amekuwa akikiuka kufuata ratiba hiyo na NEC chini ya Mkurugenzi wake Charles Mahera hawajawahi kuonya, kukaripia wala kushauri wagombea kufuata ratiba hiyo. Na bado mgombea wa CCM anafuata ratiba yake mwenyewe. Tukianzia na tukio la kuingilia ratiba ya Chadema tarehe 18.9.2020 mjini Kigoma.
Hakupaswa awepo lakini akabakia kwa kisingizio cha majukumu ya urais. Ni wakati wanajua akiwemo mgombea wa Urais eneo fulani haiapswi mwingine kuwepo eneo hilo. Aliondoka siku ya pili yake jumapili. kafanya maandalizi ya Lissu yakwame.
Ijumaa tena 9.10.2020 hakuwa kwenye ratiba ya kampeni lakini akaitisha watu uwanja wa Taifa na kupiga kampeni pale. NEC wapo tu kimya. Ratiba inavurugwa wazi wazi lakini wao wapo kimya. Kazi yao kumtazama Lissu tu amesema nini ili wamshikishe adhabu. Double standards kwa tume hii ni kubwa sana. Wanadhani wapo kwa ajili ya CCM tu.
Mbali na hilo lakini wana kashfa za kutosha zinazotolewa kwenye majukwaa yao na wala hawasemi lolote. Polepole amekuwa kinara wa kashfa na kutoa lugha za kebehi mno. NEC ipo kimya.
Ina mwogopa sana aliyewachagua. Hii sio tume huru japo Mahera anajimwambafai kuwa haiingiliwi wala kupangiwa wala kutishwa na mtu yeyote. Watanzania tunaona hayo yanyofanyika. Tupo tunawasubiri kwenye kona ya makutano.
Mara kadhaa amekuwa akikiuka kufuata ratiba hiyo na NEC chini ya Mkurugenzi wake Charles Mahera hawajawahi kuonya, kukaripia wala kushauri wagombea kufuata ratiba hiyo. Na bado mgombea wa CCM anafuata ratiba yake mwenyewe. Tukianzia na tukio la kuingilia ratiba ya Chadema tarehe 18.9.2020 mjini Kigoma.
Hakupaswa awepo lakini akabakia kwa kisingizio cha majukumu ya urais. Ni wakati wanajua akiwemo mgombea wa Urais eneo fulani haiapswi mwingine kuwepo eneo hilo. Aliondoka siku ya pili yake jumapili. kafanya maandalizi ya Lissu yakwame.
Ijumaa tena 9.10.2020 hakuwa kwenye ratiba ya kampeni lakini akaitisha watu uwanja wa Taifa na kupiga kampeni pale. NEC wapo tu kimya. Ratiba inavurugwa wazi wazi lakini wao wapo kimya. Kazi yao kumtazama Lissu tu amesema nini ili wamshikishe adhabu. Double standards kwa tume hii ni kubwa sana. Wanadhani wapo kwa ajili ya CCM tu.
Mbali na hilo lakini wana kashfa za kutosha zinazotolewa kwenye majukwaa yao na wala hawasemi lolote. Polepole amekuwa kinara wa kashfa na kutoa lugha za kebehi mno. NEC ipo kimya.
Ina mwogopa sana aliyewachagua. Hii sio tume huru japo Mahera anajimwambafai kuwa haiingiliwi wala kupangiwa wala kutishwa na mtu yeyote. Watanzania tunaona hayo yanyofanyika. Tupo tunawasubiri kwenye kona ya makutano.