Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi ishirikiane na Wapiga Kura kulinda kura

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi ishirikiane na Wapiga Kura kulinda kura

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,342
Ulinzi wa mtu na mali zake ni jukumu linaloanzia kwa mtu mwenyewe baadaye jamii na kisha vyombo vya kiserikali.

Jukumu hili ni la msingi kikatiba, na kwa umuhimu wake naona ni vema Tume ya Uchaguzi NEC na ZEC zikawa bega kwa bega na Wananchi katika kuhakikisha wezi wa kura hawapati nafasi ya kutekeleza wizi wao.

Kwa kuwa CCM inawachukia hao wezi wa kura, naamini sio tu watalifurahia wazo hili bali watapenda tume ilitumie kikamilifu.

Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinatokana na wananchi hivyo basi kuwa navyo bega kwa bega kuzilinda kura hakika wezi wa kura hawatapata nafasi ya kujipenyeza kwenye box la kura.

Watakaopinga wazo hili ni wafaidika wa wizi wa kura.
 
Ulinzi wa mtu na mali zake ni jukumu linaloanzia kwa mtu mwenyewe baadaye jamii na kisha vyombo vya kiserikali.

Jukumu hili ni la msingi kikatiba, na kwa umuhimu wake naona ni vema Tume ya Uchaguzi NEC na ZEC zikawa bega kwa bega na Wananchi katika kuhakikisha wezi wa kura hawapati nafasi ya kutekeleza wizi wao.

Kwa kuwa CCM inawachukia hao wezi wa kura, naamini sio tu watalifurahia wazo hili bali watapenda tume ilitumie kikamilifu.

Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinatokana na wananchi hivyo basi kuwa navyo bega kwa bega kuzilinda kura hakika wezi wa kura hawatapata nafasi ya kujipenyeza kwenye box la kura.

Watakaopinga wazo hili ni wafaidika wa wizi wa kura.

Upande wa pili wanachukizwa mno na mawazo ya wanamapinduzi kama haya.

CDM tujipange kuwezesha hili kuwezekana. Hawa ni a=b=c=D.

Wanufaika wakubwa wa mpango huu unaopendekeza ilikuwa wao kama wangekuwa wapenda haki. Hawapendi haki. Yale yale ya Jecha.

Bila mkakati madhubuti hawawezi kuridhia mpango huu ambo unaweza kumhakikishia bwana yule safari ya kurejea Chatto moja kwa moja waliko ng'ombe na farasi wake.
 
Back
Top Bottom