Tume ya Uchaguzi Kenya yadai server ya matokeo iko Ulaya! Tume inataka kuficha nini?

wewe hata hujui usemacho sever za NASA ziliibwa na office kuvunjwa
 

You mean. Like this


Or this;

 
Yeah, that is the point. Why dwelling on how the forms were transmitted electronically while they have already counter checked with the original forms?
 
Wachangiaji wengi hawajishishughulishi kufatilia kinacho endelea Kenya hasa baada ya uchaguzi
TV ya citizens inaonyesha LIVE mtililiko wa hizi Kesi na maelezo ya mleta UZI ni kuwa baada ya shahidi wa tume kuhojiwa ndo alieleta maelekezo haya..
 
Nadhani baada ya hukumu ya mahakama sasa umeelewa hoja za NASA kuwa zina mashiko!!
 
Ona sasa ulivyovuliwa nguo mchana kweupe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…