Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wana jamvi.
Tume inayojiita tume huru imetangaza mchakato wa kugawa majimbo ya uchaguzi.
Vigezo vikuu ni idadi ya watu na ukubwa wa eneo.
Majimbo ya mijini idadi ya watu itakuwa kuanzia watu 600,000 huku majimbo ya Vijijini idadi ya watu itakuwa kuanzia 400,000.
Idadi ya jumla yawatu wa Zanzibar ni 2 million tu.
Soma Pia: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuanza mchakato wa kugawa na kubadili Majina ya Majimbo kuanzia Februari 27, 2025
Tukitumia vigezo vya vijijini yaani watu 400,000 maana yake Zanzibar itakuwa na wabunge 5 tu au wakipendelewa basi hawatazidi wabunge 6 tu.
Ngongo kwasasa Ikwiriri.
Tume inayojiita tume huru imetangaza mchakato wa kugawa majimbo ya uchaguzi.
Vigezo vikuu ni idadi ya watu na ukubwa wa eneo.
Majimbo ya mijini idadi ya watu itakuwa kuanzia watu 600,000 huku majimbo ya Vijijini idadi ya watu itakuwa kuanzia 400,000.
Idadi ya jumla yawatu wa Zanzibar ni 2 million tu.
Soma Pia: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuanza mchakato wa kugawa na kubadili Majina ya Majimbo kuanzia Februari 27, 2025
Tukitumia vigezo vya vijijini yaani watu 400,000 maana yake Zanzibar itakuwa na wabunge 5 tu au wakipendelewa basi hawatazidi wabunge 6 tu.
Ngongo kwasasa Ikwiriri.