Pre GE2025 Tume ya Uchaguzi kuwa Tume Huru ya Uchaguzi, Itakuwa Huru Kweli au ni Jina tu? Ukiomba Mambo 10 Ukapewa 1, Shukuru kwa Hilo 1. Asante kwa INEC!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kulihitajika mabadiliko madogo ya katiba kabla ya mabadiliko ya sheria. Hakuna faida ya kutoheshimisha katiba. Katiba ipewe Hadji yake ya kuwa supreme over anything ndani ya nchi. Katiba iogopwe. Katiba haiwezi kujitetea. Inatakiwa itetewe. Katiba itajitetea kwa nchi kuharibika na kila mtu kujiendea. Kilichomsaida Mabeyo na wenzake 2021 kuamua uelekeo wa nchi na kuleta utulivu ni katiba. Katiba ndiyo muongozo mkuu.
 
Tatizo lipo ikiwezekana tunapiga kura tupige live kama nchi za wenzetu ijapokuwa kutakuja hoja kwamba hatuna uwezo wa hiyo technology lakini ikumbukwe hapo watu wanapigania haki zao za msingi baada ya kukosa Imani na utaratibu uliopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…