Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi makali kama msumeno

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi makali kama msumeno

Alhaj Abdullah Bulembo akimnadi jiwe kujipembejea teuzi, bungeni aliwahi pendekeza (passionately) kusiwepo uchaguzi wa rais 2020 kwa kile alichokiita jiwe akakubalika mno na hamna namna.

Kwamba eti jiwe apite bila kupingwa. Yale ya Ruangwa, kilosa, Mtama, ushetu, nk.

Sina hakika kama yungali na msimamo huo huo hii leo. Wote wamesambaratika. Jiwe anavyolia lia kuomba mitano mingine mbona anatia huruma?

Kwa dhati kabisa analia "jamani nipeni na mimi hii mitano mingine mbona wenzangu wote mliwapa? Jamani ninawasilisha itakuwa ya mwisho kabisa wala sitaongeza mingine."

Anatia huruma kuliko mgombea mwingine yeyote aliyewahi pita katika historia yetu.
Wachawi wake wameshindwa kumsaidia hivyo lazima alie alie, na inavyoonekana wamwambia wazi kabisa, kuwa utashindwa vibaya mno, sababu ulikiuka masharti wewe mwenyewe, na hawana namna ya kumsaidia, zaidi ya kutegemegea huruma, tatizo unachopanda ndicho unachovuna, na yeye alipanda ukatili hivyo atavuna ukatili wake.
 
Je ni kumtukana mtu kwa kumuita FISADI, halafu ukaelezea ufisadi alioufanya?
 
Comrade kuna sheria zinazosimamia zoezi zima la uchaguzi. Wagombea walioenguliwa wameenguliwa kwa sababu mbalimbali na sio wameonewa. Kutakua na tija gani ya kutunga sheria halafu tusizitumie?

Kwa mfano Wakati Lissu ameweka mapingamizi dhidi ya Magufuli, lengo lake lilikuwa ni kuishawishi tume imuengue Magufuli. Na kama sababu za Lissu zingekua na tija Magufuli angeenguliwa na tume. Lingetokea hilo sidhani kama chadema mngekuja hapa kusisitiza Magufuli arudishwe kwenye kinyang'anyiro.

Mkuu kinadharia ulichoandika kinaweza onekana kuwa ni sawa lakini kiuhalisia sivyo.

Lissu aliweka mapingamizi yale kwa kuamini kutakuwa na mapingamizi dhidi yake tokea CCM na tokea CUF. Ndiyo maana alisema tangia mapema kabisa asienguliwe mtu yeyote mezani. Twende kwa wapiga kura, kwenye sanduku la kura.

Lissu hakuwa na nia ya kumwengua JPM wala Lipumba. Wala CDM wasingeshabikia enguaji yoyote.

Sababu nyingi za mapingamizi haya hazina mashiko. Kwa utangamano wa nchi rejesha wote wanaolalamika. Kumbuka hakuna engua engua yoyote iliwahi pita tangia nchi hii kupata uhuru isipokuwa wakati wa awamu ya 5. Haikufikirishi tu?

Pia, haikufikirishi kuona kuwa wanaoenguliwa ni wapinzani tu?

Hapa ilihitaji busara zaidi kuliko taratibu fyongo zinazolalamikiwa ambazo pia zinalazimishwa kuwaengua wengine. Kumbuka taratibu hizo pia ni subject ya malalamiko kama ilivyo kutokuwapo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

Majimbo ya muhimu kuonyesha nia njema ni yale ya Lindi, kilosa, kongwa na ushetu japo kuwarejesha wote kabisa wanaolalamika ni hitajio la msingi kabisa.

Busara haiwezi kushindwa na taratibu zozote zilizopo. Kumbuka hata mapingamizi ya JPM, Lipumba na hata Maalim ni busara zaidi zilizotumika kuyatupa na hapa tuko vizuri tunaendelea kwa amani.

Nikudokeze kama hujui kuridhia kuwapitisha wagombea wote kutaipa tume kuaminika zaidi katika kusonga mbele kwetu ndani ya changamoto zilizopo.

Hudhani kuna faida mno kwa tume na mstakabala wetu mzima kama taifa kwa kuwarudisha wote walioenguliwa wanaolalamika kuliko faida za kuwakomalia ili kuwaengua tu?
 
Wakati Lissu anaweka pingamizi dhidi ya Magufuli lengo lilikua ni kumuengua Magufuli kwenye kinyang'anyiro. Sasa comrade njia iyo iyo aliyotumia Lissu ndio iliyotumika kuwaengua wagombea wenu.

Ya Lissu ilikuwa ni kujihami. It was a tactical move. Alitegemea mapingamizi tokea CCM na CUF.

Msimamo wake ulikuwa wazi tangu awali mno kuwa asienguliwe mtu yeyote mezani.
 
Mkuu kinadharia ulichoandika kinaweza onekana kuw ni sawa lakini kiuhalisia sivyo.

Lissu aliweka mapingamizi yale kwa kuamini kutakuwa na mapingamizi dhidi yake tokea CCM na tokea CUF. Ndiyo maana alisema tangia mapema kabisa asienguliwe mtu yeyote mezani. Twende kwa wapiga kura, kwenye sanduku la kura.

Lissu hakuwa na nia ya kumwengua JPM wala Lipumba. Wala CDM wasingeshabikia enguaji yoyote.

Sababu nyingi za mapingamizi haya hazina mashiko. Kwa utangamano wa nchi rejesha wote wanaolalamika. Kumbuka hakuna engua engua yoyote iliwahi pita tangia nchi hii kupata uhuru isipokuwa wakati wa awamu ya 5. Haikufikirishi tu?

Pia, haikufikirishi kuona kuwa wanaoenguliwa ni wapinzani tu?

Hapa ilihitaji busara zaidi kuliko taratibu fyongo zinazolalamikiwa ambazo pia zinalazimishwa kuwaengua wengine. Kumbuka taratibu hizo pia ni subject ya malalamiko kama ilivyo kutokuwapo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

Majimbo ya muhimu kuonyesha nia njema ni yale ya Lindi, kilosa, kongwa na ushetu japo kuwarejesha wote kabisa wanaolalamika ni hitajio la msingi kabisa.

Busara haiwezi kushindwa na taratibu zozote zilizopo. Kumbuka hata mapingamizi ya JPM, Lipumba na hata Maalim ni busara zaidi zilizotumika kuyatupa na hapa tuko vizuri tunaendelea kwa amani.

Nikudokeze kama hujui kuridhia kuwapitisha wagombea wote kutaipa tume kuaminika zaidi katika kusonga mbele kwetu ndani ya changamoto zilizopo.

Hudhani kuna faida mno kwa tume na mstakabala wetu mzima kama taifa kwa kuwarudisha wote walioenguliwa wanaolalamika kuliko faida za kuwakomalia ili kuwaengua tu?
Wengi wa "wale" hawawezi ona ukionacho Mkuu
 
Hahaha comrade sio mbaya kujipa matumaini kuwa Chadema mtachukua nchi ila mjiandae kisaikolojia kuukubali ukweli.

October inakuja msije kufa kwa kihoro.

Mkuu mbona tumekuwa wazi mno? Asiyekubali kushindwa si mshindani. Na je, nyie pia mnachukuwa msimamo kama huo na kwa dhati kabisa?

Kwetu sote: "Asiyekubali kushindwa si mshindani"

Au kujiandaa kisaikolojia ni CDM tu? Na nyie je?

Matokeo ya kura ya haki na huru yatakubaliwa na CDM je nyie? CDM hatakubaliana na janja janja kama za Jecha. Nadhani hilo ni natural.
 
Mkuu kinadharia ulichoandika kinaweza onekana kuw ni sawa lakini kiuhalisia sivyo.

Lissu aliweka mapingamizi yale kwa kuamini kutakuwa na mapingamizi dhidi yake tokea CCM na tokea CUF. Ndiyo maana alisema tangia mapema kabisa asienguliwe mtu yeyote mezani. Twende kwa wapiga kura, kwenye sanduku la kura.

Lissu hakuwa na nia ya kumwengua JPM wala Lipumba. Wala CDM wasingeshabikia enguaji yoyote.

Sababu nyingi za mapingamizi haya hazina mashiko. Kwa utangamano wa nchi rejesha wote wanaolalamika. Kumbuka hakuna engua engua yoyote iliwahi pita tangia nchi hii kupata uhuru isipokuwa wakati wa awamu ya 5. Haikufikirishi tu?

Pia, haikufikirishi kuona kuwa wanaoenguliwa ni wapinzani tu?

Hapa ilihitaji busara zaidi kuliko taratibu fyongo zinazolalamikiwa ambazo pia zinalazimishwa kuwaengua wengine. Kumbuka taratibu hizo pia ni subject ya malalamiko kama ilivyo kutokuwapo kwa tume ya uchaguzi iliyo huru.

Majimbo ya muhimu kuonyesha nia njema ni yale ya Lindi, kilosa, kongwa na ushetu japo kuwarejesha wote kabisa wanaolalamika ni hitajio la msingi kabisa.

Busara haiwezi kushindwa na taratibu zozote zilizopo. Kumbuka hata mapingamizi ya JPM, Lipumba na hata Maalim ni busara zaidi zilizotumika kuyatupa na hapa tuko vizuri tunaendelea kwa amani.

Nikudokeze kama hujui kuridhia kuwapitisha wagombea wote kutaipa tume kuaminika zaidi katika kusonga mbele kwetu ndani ya changamoto zilizopo.

Hudhani kuna faida mno kwa tume na mstakabala wetu mzima kama taifa kwa kuwarudisha wote walioenguliwa wanaolalamika kuliko faida za kuwakomalia ili kuwaengua tu?
Kiongozi bora ni yule anayeyaishi maneno yake. Huwezi sema kwamba asienguliwe mtu mezani wakati huohuo unaenda kuweka mapingamizi dhidi ya wagombea wengine ukifahamu fika kuwa matokeo ya mapingamizi ni mawili either yatupiliwe mbali au yamuengue mgombea. Kwa hilo Lissu asijitetee kuwa mapingamizi yake hayakua na uzito kwasababu hakumaanisha waenguliwe.

Pia tunatambua kuna sheria na taratibu zinazosimamia uchaguzi. Kuenguliwa kupo kisheria hivyo wagombea wanatakiwa kuwa makini kwa kutofanya makosa yanayoweza kupelekea kuenguliwa. Umeuliza ni kwanini wapinzani tu ndio wameenguliwa kwa hilo nitoe pongezi kubwa kwa chama changu ccm kwa kuweka umakini mkubwa kwenye kuhakiki fomu za wagombea wetu ili kuepuka makosa yanayoweza kutoa mwanya kwa wapinzani kutuwekea mapingamizi. Vyama vingine vijifunze kwenye hilo na sio kuishia kulalamika.

Kuaminika kwa tume ya taifa ya uchaguzi kutaletwa kwa kuonesha uwezo wake wa kusimamia sheria bila kuyumbishwa na matakwa ya watu au vyama. Wanaostahili kurudishwa wamerudishwa comrade na hili pia nitoe pongezi kubwa kwa tume.
 
Mkuu mbona tumekuwa wazi mno? Asiyekubali kushindwa si mshindani. Na je, nyie pia mnachukuwa msimamo kama huo na kwa dhati kabisa?

Kwetu sote: "Asiyekubali kushindwa si mshindani"

Au kujiandaa kisaikolojia ni CDM tu? Na nyie je?

Matokeo ya kura ya haki na huru yatakubaliwa na CDM je nyie? CDM hatakubaliana na janja janja kama za Jecha. Nadhani hilo ni natural.
Miaka yote ccm tunaposhindwa kwenye uchaguzi hatujawahi kulalamika kuwa wapinzani waliiba kura bali huwa tunakubali kushindwa tunarudi kujipanga upya.
 
Ukweli mchungu huu na usiogemea upande wowote!

'Tumeccm' wameingiwa na 'pepo' la kutomsikiliza mwananchi na kutofuata Sheria ya uchaguzi,matokeo yake wanachezeshwa 'rhumba' kuokoa vyeo na matumbo yao!
Wamepigwa bit na mabeberu thus wanawarudisha mmoja mmoja.Chezea kunyimwa misaada
 
Miaka yote ccm tunaposhindwa kwenye uchaguzi hatujawahi kulalamika kuwa wapinzani waliiba kura bali huwa tunakubali kushindwa tunarudi kujipanga upya.

Kwa Jecha si mnakumbuka?

Mlalamike vipi wakati nyie ndiyo mmebebwa na mbeleko ya chuma siku zote?

Kwani hujui kwanini mnatumia nguvu hivyo kupinga uwepo wa tume huru ya uchaguzi?

Ni kwa sababu ya dhuluma nyingi zilizopo ndiyo maana safari hii tunachagua kwenda na mgombea yeyote:

IMG_20200804_210728_515.jpg
IMG_20200804_210728_515.jpg


Tunataka haki na uhuru pia kwenye chaguzi ili haki ionekane waziwazi ikitenda.

Ila kama nyinyi huwa hamlalamiki timilifu sisi tume ya uchaguzi ili tuone mkuki kwa nguruwe kwenu huwa je.
 
Wamepigwa bit na mabeberu thus wanawarudisha mmoja mmoja.Chezea kunyimwa misaada
Nategemea hiyo trend iende hadi kwenye mchakato wa kuhesabu kura..upumbavu tumechoka!

Kama tumeshindwa ustaarabu wa kujisimamia wenyewe kwenye siasa za uchaguzi acha 'mabeberu' watusimamie tu hakuna namna!
 
Kiongozi bora ni yule anayeyaishi maneno yake. Huwezi sema kwamba asienguliwe mtu mezani wakati huohuo unaenda kuweka mapingamizi dhidi ya wagombea wengine ukifahamu fika kuwa matokeo ya mapingamizi ni mawili either yatupiliwe mbali au yamuengue mgombea. Kwa hilo Lissu asijitetee kuwa mapingamizi yake hayakua na uzito kwasababu hakumaanisha waenguliwe.

Pia tunatambua kuna sheria na taratibu zinazosimamia uchaguzi. Kuenguliwa kupo kisheria hivyo wagombea wanatakiwa kuwa makini kwa kutofanya makosa yanayoweza kupelekea kuenguliwa. Umeuliza ni kwanini wapinzani tu ndio wameenguliwa kwa hilo nitoe pongezi kubwa kwa chama changu ccm kwa kuweka umakini mkubwa kwenye kuhakiki fomu za wagombea wetu ili kuepuka makosa yanayoweza kutoa mwanya kwa wapinzani kutuwekea mapingamizi. Vyama vingine vijifunze kwenye hilo na sio kuishia kulalamika.

Kuaminika kwa tume ya taifa ya uchaguzi kutaletwa kwa kuonesha uwezo wake wa kusimamia sheria bila kuyumbishwa na matakwa ya watu au vyama. Wanaostahili kurudishwa wamerudishwa comrade na hili pia nitoe pongezi kubwa kwa tume.

Kumeitishwa busara kwa muda mrefu sasa:

Uchaguzi 2020 - Kuelekea Oktoba 28, yahitajika busara zaidi sasa

Kupanga ni kuchagua.

Tume yenu waenguliwa sisi na mnaona ni sawa.

Tuna sema sasa basi!
 
Nategemea hiyo trend iende hadi kwenye mchakato wa kuhesabu kura..upumbavu tumechoka!

Kama tumeshindwa ustaarabu wa kujisimamia wenyewe kwenye siasa za uchaguzi acha 'mabeberu' watusimamie tu hakuna namna!
Tunashindwa hata kujisimamia wenyewe kwa sheria tulizojiwekea
 

Attachments

  • Screenshot_20200518_071225.jpg
    Screenshot_20200518_071225.jpg
    78.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom