Tume ya Uchaguzi(NEC), yapendekeza Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuleta ufanisi

Tume ya Uchaguzi(NEC), yapendekeza Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuleta ufanisi

Kuna uhuru gani hapa

Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Hapa kwanza watazipunguzia ufanisi kwa kisingizo cha ufinyu wa bajeti. Pili wataweka mchujo wa hizo taasisi kwa kisingio kuwa serikali haiwezi kizihudumia zote.

Michakato hiyo yote ina kadabra kama zote.
 
Wafute kipengele Cha kupita bila kupingwa
 
Kuna uhuru gani hapa

Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Ili ziwe controlled na serikali, very stupid suggestion.
Asasi zinazotoa elimu ya uraia hazipaswi kabisa kufungamana na serikali kwa namna yoyote.
 
Tume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-

1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.

2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.

3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.

4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.

5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.

6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Pendekezo la maana ni moja tu...tume iliyopo ivunjwe na kuundwa tume mpya huru kwani hii ya sasa inafanya kazi kwa maelekezo ya moja wa wagombea ambaye ni wa CCM. Hii tume ya sasa ni kama kitengo cha CCM na hakuna marekebisho yoyote ya maana yanawezekana bila ya kuifumua hii tume na kuunda tume mpya baada ya Katiba mpya kupatikana...this one is beyond repair!
 
Tunahitaji Katiba Mpya siyo kuweka viraka vilivyochakaa kwenye Katiba ya sasa.
 
Roho zinawasuta....

Mapendekezo ya nini tena wakati mwaka mmoja tu uliopita tulikuwa na perfect election?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Tume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-

1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.

2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.

3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.

4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.

5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.

6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Kangara itabaki ileile kwenye 'kisado' kipya.
 
Tume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-

1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.

2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.

3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.

4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.

5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.

6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Tunatakq katiba mpya na tume ya ya uchaguzi
 
Ni kama vile tume huru ipo muda mrefu ndio maana kina Mbowe, Zito, Sugu, Kubenea, Lisu, Mnyika, Msigwa, Lema na wengineo wengi kutoka upinzan waliweza kushinda chaguzi zaidi ya tatu mfululizo. Ila tatizo lililopo ni kwamba watanzania wa sasa sio wale wa 1999. Wengi wanajitambua na kuijua siasa vizuri, ndio maana hawako tayar kurubuniwa na wanasiasa uchwara anymore.

Huwezi kuja kugombea jimbo la hai afu ukishapata ushindi unakimbilia dar na dubai huku ukituacha wana hai hatuna maji, barabara, hospital wala kisima cha maji safi. Afu utegemee kila uchaguzi utakuja tukuchague. Jimbo hili haliwezi kufanywa shamba la bibi na mchumia tumbo yoyote!!!
Neno
 
pendekezo no. 1 ilipaswa kuwa tume ivunjwe iundwe mpyaaa itayoaminika alafu hayo mengine yafuate...
 
pendekezo no. 1 ilipaswa kuwa tume ivunjwe iundwe mpyaaa itayoaminika alafu hayo mengine yafuate...
Hii ya sasa Haiaminiki?
Nani haiamini?
Sio kila mmoja haiamini, Tuna Viongozi kwasababu Tume inaaminika na kazi zake zinaaminika. Maoni ya wachache hayawezi kugeneralize mambo
 
Hii ya sasa Haiaminiki?
Nani haiamini?
Sio kila mmoja haiamini, Tuna Viongozi kwasababu Tume inaaminika na kazi zake zinaaminika. Maoni ya wachache hayawezi kugeneralize mambo
Naongelea wenye akili timamu na watu conscious kama mimi ukiachilia mbali mazuzu na vilaza jamaa.
 
Mkurugenzi akivuruga uchaguzi eneo lolote tume aiwezi kumuambia hata neno sio vizuri ulivyofanya inaka kimya maana haijamuaziri
 
Mkurugenzi akivuruga uchaguzi eneo lolote tume aiwezi kumuambia hata neno sio vizuri ulivyofanya inaka kimya maana haijamuaziri
Well said! Kuna hoja ya msingi hapa. Ingawa Tume inao uwezo wa kupendekeza awajibishwe, isipokuwa utashi wa mamlaka unawanyima Tume kuhitimisha uwajibishaji huo.
 
Mbwa kabisa ndio mapendekezo gani Sasa hayo? Yani badala ya kusema time iwe huru, wakurugenzi wa halmashauri wasihusike kwa namna yoyote ile kusimamia uchaguzi, walimu na watumishi wa umma wasiwe na majukumu ya uchaguzi Wala uteuzi wa mwenyekiti wa tume yenyewe asichaguliwe na Ccm wao wanaleta mapendekezo yakishamba kabisa yasikuwa na tija.
Kwani yeye kasemaje?
 
Back
Top Bottom