Possibles
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 1,933
- 2,439
Hapa kwanza watazipunguzia ufanisi kwa kisingizo cha ufinyu wa bajeti. Pili wataweka mchujo wa hizo taasisi kwa kisingio kuwa serikali haiwezi kizihudumia zote.Kuna uhuru gani hapa
Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Michakato hiyo yote ina kadabra kama zote.