Hapa kwanza watazipunguzia ufanisi kwa kisingizo cha ufinyu wa bajeti. Pili wataweka mchujo wa hizo taasisi kwa kisingio kuwa serikali haiwezi kizihudumia zote.Kuna uhuru gani hapa
Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Kabisa waache kujikosha kwa madhambi yaoTunataka Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Ili ziwe controlled na serikali, very stupid suggestion.Kuna uhuru gani hapa
Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Pendekezo la maana ni moja tu...tume iliyopo ivunjwe na kuundwa tume mpya huru kwani hii ya sasa inafanya kazi kwa maelekezo ya moja wa wagombea ambaye ni wa CCM. Hii tume ya sasa ni kama kitengo cha CCM na hakuna marekebisho yoyote ya maana yanawezekana bila ya kuifumua hii tume na kuunda tume mpya baada ya Katiba mpya kupatikana...this one is beyond repair!Tume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Kangara itabaki ileile kwenye 'kisado' kipya.Tume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Tunatakq katiba mpya na tume ya ya uchaguziTume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
NenoNi kama vile tume huru ipo muda mrefu ndio maana kina Mbowe, Zito, Sugu, Kubenea, Lisu, Mnyika, Msigwa, Lema na wengineo wengi kutoka upinzan waliweza kushinda chaguzi zaidi ya tatu mfululizo. Ila tatizo lililopo ni kwamba watanzania wa sasa sio wale wa 1999. Wengi wanajitambua na kuijua siasa vizuri, ndio maana hawako tayar kurubuniwa na wanasiasa uchwara anymore.
Huwezi kuja kugombea jimbo la hai afu ukishapata ushindi unakimbilia dar na dubai huku ukituacha wana hai hatuna maji, barabara, hospital wala kisima cha maji safi. Afu utegemee kila uchaguzi utakuja tukuchague. Jimbo hili haliwezi kufanywa shamba la bibi na mchumia tumbo yoyote!!!
Tukioneana aibu tutaendelea kuburuzwa. Wahenga walisema "mficha uchi hazai"Neno
Hii ya sasa Haiaminiki?pendekezo no. 1 ilipaswa kuwa tume ivunjwe iundwe mpyaaa itayoaminika alafu hayo mengine yafuate...
Naongelea wenye akili timamu na watu conscious kama mimi ukiachilia mbali mazuzu na vilaza jamaa.Hii ya sasa Haiaminiki?
Nani haiamini?
Sio kila mmoja haiamini, Tuna Viongozi kwasababu Tume inaaminika na kazi zake zinaaminika. Maoni ya wachache hayawezi kugeneralize mambo
Well said! Kuna hoja ya msingi hapa. Ingawa Tume inao uwezo wa kupendekeza awajibishwe, isipokuwa utashi wa mamlaka unawanyima Tume kuhitimisha uwajibishaji huo.Mkurugenzi akivuruga uchaguzi eneo lolote tume aiwezi kumuambia hata neno sio vizuri ulivyofanya inaka kimya maana haijamuaziri
Kwani yeye kasemaje?Mbwa kabisa ndio mapendekezo gani Sasa hayo? Yani badala ya kusema time iwe huru, wakurugenzi wa halmashauri wasihusike kwa namna yoyote ile kusimamia uchaguzi, walimu na watumishi wa umma wasiwe na majukumu ya uchaguzi Wala uteuzi wa mwenyekiti wa tume yenyewe asichaguliwe na Ccm wao wanaleta mapendekezo yakishamba kabisa yasikuwa na tija.