Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi: Tunasubiri tangazo la kuvunjwa kwa Bunge ili tutangaze tarehe rasmi ya Uchaguzi 2020

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi: Tunasubiri tangazo la kuvunjwa kwa Bunge ili tutangaze tarehe rasmi ya Uchaguzi 2020

Lazima watangaze tu maana hakuna njia
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inasubiri tangazo kwenye gazeti la Serikali la kuvunjwa kwa Bunge ili iweze kuweka tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu.

Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Wilson Mahera amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa habari jijini Arusha na kusema baada ya tangazo hilo tarehe itatangazwa.

Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kifungu 37(1) kinaielekeza Tume kufanya uteuzi kwa wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Pia, amesema sheria hiyo kifungu cha 46 (1) kinaelekeza kuwa tarehe ya uteuzi wa wagombea itatakiwa kutajwa ndani ya siku 60 hadi 90 kabla ya kutangazwa siku ya uchaguzi.
 
Gazeti la serikali ni Tanzania Daima mmelipiga ban mbwakoko wa Lumumba this is unacceptable.
 
Inamaana hawakuona ile hotuba ya mzee baba alivyojipinda kuelezea Mambo yote yale na kuvunja bunge bado wanasubiri tangazo..!!

Dah! Kweli zimwi likujualo halikuli likakwisha
Hayo ni matakwa ya kisheria ndugu siyo utashi wao.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inasubiri tangazo kwenye gazeti la Serikali la kuvunjwa kwa Bunge ili iweze kuweka tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu.

Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Wilson Mahera amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa habari jijini Arusha na kusema baada ya tangazo hilo tarehe itatangazwa.

Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kifungu 37(1) kinaielekeza Tume kufanya uteuzi kwa wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Pia, amesema sheria hiyo kifungu cha 46 (1) kinaelekeza kuwa tarehe ya uteuzi wa wagombea itatakiwa kutajwa ndani ya siku 60 hadi 90 kabla ya kutangazwa siku ya uchaguzi.
Mi najua itakuwa 25/10/2020 Kama ilivyo ada
 
Hivi gazeti la serikali ni lipi?
Mfano. ili sheria iwe halali baada ya kupitishwa bungeni ,ni lazima Raisi atie saini yake kisha na kumkabidhi mwanasheria mkuu ili aitie kama nyongeza ya sheria za nchi.Hapo ndio inakuwa Rasmi.

Hivyo hivyo kuvunjwa kwa Bunge, ni lazima Raisi atowe Hati maalum aikabidhi kwa wahusika na ndio tukio hilo litakuwa halali kisheria. kwa kusema tuu kuwa umevuunja ,haichukuliwi na Tume kuwa ndio tayari mpaka wapate kwa maandishi.
HII NDIO GOVERNMENT GAZETTE
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inasubiri tangazo kwenye gazeti la Serikali la kuvunjwa kwa Bunge ili iweze kuweka tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu.

Mkurugenzi wa NEC, Dkt. Wilson Mahera amesema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa habari jijini Arusha na kusema baada ya tangazo hilo tarehe itatangazwa.

Amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kifungu 37(1) kinaielekeza Tume kufanya uteuzi kwa wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Pia, amesema sheria hiyo kifungu cha 46 (1) kinaelekeza kuwa tarehe ya uteuzi wa wagombea itatakiwa kutajwa ndani ya siku 60 hadi 90 kabla ya kutangazwa siku ya uchaguzi.
Tume au shina la CCM?
 
Mfano. ili sheria iwe halali baada ya kupitishwa bungeni ,ni lazima Raisi atie saini yake kisha na kumkabidhi mwanasheria mkuu ili aitie kama nyongeza ya sheria za nchi.Hapo ndio inakuwa Rasmi.

Hivyo hivyo kuvunjwa kwa Bunge, ni lazima Raisi atowe Hati maalum aikabidhi kwa wahusika na ndio tukio hilo litakuwa halali kisheria. kwa kusema tuu kuwa umevuunja ,haichukuliwi na Tume kuwa ndio tayari mpaka wapate kwa maandishi.
HII NDIO GOVERNMENT GAZETTE
Kwa hiyo wabunge bado wapo kazini mpaka leo?
 
Back
Top Bottom