Pre GE2025 Tume ya Uchaguzi: Wapigakura milioni 34.7 wanatarajiwa kushiriki Uchaguzi mkuu Oktoba

Pre GE2025 Tume ya Uchaguzi: Wapigakura milioni 34.7 wanatarajiwa kushiriki Uchaguzi mkuu Oktoba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Akizungumza leo Machi 5, jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Bw. Kailima Ramadhani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.


Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

Hii sura ya kitapeli kabisa
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.


Fabricated Statistics???
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

View attachment 3259708
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
Ongezeko linatokana na kuongezwa wanafunzi.
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

View attachment 3259708
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
Wangesema wanategemea kuandikishwa. Kama Chadema haitashiriki wasitarajie wapiga kura zaidi ya million 10 kushiriki uchaguzi .
 
Wangesema wanategemea kuandikishwa. Kama Chadema haitashiriki wasitarajie wapiga kura zaidi ya million 10 kushiriki uchaguzi .
Chadema ina wanachama laki tano kwa mujibu wa Msigwa ndio maana hata michango ya tone tone imekuwa midogo

Chadema imepata pesa milioni 64 ukigawa kwa wanachama laki 5 ina maana kila mwanachadema kwa wastani alichangia shilingi 130

Hakuna cha wanachama milioni 10 uwongo Chadema haina
 
Wangesema wanategemea kuandikishwa. Kama Chadema haitashiriki wasitarajie wapiga kura zaidi ya million 10 kushiriki uchaguzi .
Tena hata hao 10m umekadiria mbali sana iwapo cdm hawatashiriki. Na sababu hasa ya ccm kutaka cdm washiriki ni ili kupata idadi kubwa ya wapiga kura. Maana wanajua waangalizi wa kimataifa waatandika ccm ni chama kilicho madarakani kisheria lakini bila ridhaa ya umma.
 
Ndio maana chadema wanapinga hichi kiini macho cha uchaguzi.
Kuna namna yeyote ya kuthibitisha hizi taarifa kutoka kwenye taasisi yeye iliyohuru
 
Hizo ni habari njema sema unaweza sikia siku ya uchaguzi waliopiga kura ni 9m ambapo ni kama 25%.
😂😂😂😂😂😂😂 Hao 9M ni mbumbumbu wote wa Taifa Holi ambao hawajui ni kitu gani CCM huwa inafanya katika uchaguzi
 
Mpaka takwimu hizo zinatolewa hadharani kwani zoezi la uandikishaji limefikia kikomo kama sio mazingaombwe?
 
Ok sawa tukubali wapiga kura ni milioni 34, nina amini kwamba katika takwimu hizo asilimia 85 ya data hizo ni wananchi waliokwenda kujiandikisha kwa ajili ya kupata vitambulisho kwa manufaa yao wenyewe. Kwenye matokeo ya Urais utakuja kusikia Mshindi wa kwanza amepata kura milioni sita, na mshindi wa pili amepata kura milioni moja. Time will tell
 
Akizungumza leo Machi 5, jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Bw. Kailima Ramadhani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

View attachment 3259708
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
NO REFORMS NO ELECTION
 
Akizungumza leo Machi 5, jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Bw. Kailima Ramadhani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

View attachment 3259708
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
Hesabu hazina ukweli wowote ule, wait and see
 
Takwimu hizi ni za uongo!
Aweke wapiga kura Kila Kijiji au mtaa nchi nzima muone maajabu.
2. Pia majina yabandikwe Kila mtu muone maajabu
3. Namba za nida za kila mpiga kura iwepo kwenye jina la mpiga kura muone maajabu.
4. Mfumo wa nida usomane na mfumo wa Tume ya uchaguzi muone maajabu
 
Akizungumza leo Machi 5, jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Bw. Kailima Ramadhani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

View attachment 3259708
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
Soma, Pia
Utapeli tupu
 
Takwimu hizi ni za uongo!
Aweke wapiga kura Kila Kijiji au mtaa nchi nzima muone maajabu.
2. Pia majina yabandikwe Kila mtu muone maajabu
3. Namba za nida za kila mpiga kura iwepo kwenye jina la mpiga kura muone maajabu.
4. Mfumo wa nida usomane na mfumo wa Tume ya uchaguzi muone maajabu
Matumizi makubwa ya fedha za umma
 

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 1
Ok sawa tukubali wapiga kura ni milioni 34, nina amini kwamba katika takwimu hizo asilimia 85 ya data hizo ni wananchi waliokwenda kujiandikisha kwa ajili ya kupata vitambulisho kwa manufaa yao wenyewe. Kwenye matokeo ya Urais utakuja kusikia Mshindi wa kwanza amepata kura milioni sita, na mshindi wa pili amepata kura milioni moja. Time will tell
Ni aibu tupu
 
Chadema ina wanachama laki tano kwa mujibu wa Msigwa ndio maana hata michango ya tone tone imekuwa midogo

Chadema imepata pesa milioni 64 ukigawa kwa wanachama laki 5 ina maana kila mwanachadema kwa wastani alichangia shilingi 130

Hakuna cha wanachama milioni 10 uwongo Chadema haina

Wapiga kura siyo wanachama tu. Ndiyo maana pamoja na CCM kuiba uchaguzi wote 2020.... ilibidi wawape Chadema kura 2 million kwenye uchakachuaji wao.
 
Back
Top Bottom