Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni weziWapiga kura siyo wanachama tu. Ndiyo maana pamoja na CCM kuiba uchaguzi wote 2020.... ilibidi wawape Chadema kura 2 million kwenye uchakachuaji wao.
Huyu si yule tangu zama za JK? Wezi wale waleAkizungumza leo Machi 5, jijini Dar es Salaam katika Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Bw. Kailima Ramadhani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kuwa jumla ya wapigakura 34,746,638 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa ya Tume, idadi hiyo inatokana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini.
View attachment 3259708Soma, Pia
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima Ramadhani
CCM ni wezi
Aibu kubwa snHalafu kwa jinsi Maza alivyoupania safari hii watajiibia kura mpaka wao wenyewe. Kuna vituo na msjimbo wapiga kura watazidi wale waliojiandikisha.
Wakifika hata nusu nikatwe kichwaFabricated Statistics???