Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Pamoja hilo mpaka sasa Uhuru Kenyatta ndo Raisi Mteule wa Kenyata anayesubiri kutangazwa na kuapishwa rasmi.
Baada ya mgombea wa NASA kulalamika kuhusu matokeo sio halali yanayotolewa na tume kutokana kukosekana na baadhi ya nyaraka za fomu alizodai odinga
Sasa tume ya uchaguzi imesitisha kutangaza matokeo ili kupisha uchunguzi wa hizo fomu za 3a zinazodaiwa na odinga
Source citizen news
Watumie dawa ya Jechaquine kutibu matokeoBaada ya mgombea wa NASA kulalamika kuhusu matokeo sio halali yanayotolewa na tume kutokana kukosekana na baadhi ya nyaraka za fomu alizodai odinga
Sasa tume ya uchaguzi imesitisha kutangaza matokeo ili kupisha uchunguzi wa hizo fomu za 3a zinazodaiwa na odinga
Source citizen news
Sidhani