Tume ya uchaguzi yasitisha kutangaza matokeo kupisha uchunguzi wa fomu za 34A

Wakipindua matokeo yaliyokwisha tangazwa itakuwa balaa zaidi...
Hilo balaa halitoiacha Kny salama...
Hata hali hii tu yenyewe haitaiacha nchi salama. Haina tofauti na maamuzi ya TEF ya jana kwa wahariri wa vyombo vya habari vya watanzania


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…