ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Jana mheshimiwa Rais Samia amezindua rasmi Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ambayo Ina majukumu ya Kulinda na kutunza faragha za watu.
Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa wanasambaza taarifa binafsi za Wateja Wao Kwa watu mbalimbali ambao Huwa wanawasiliana Kwa kuwapigia na kutoa kashfa na kueleza kwamba wanamdai mhusika.Watu wengi wamekuwa wanalalamika Kwa huu upuuzi unaofanywa na Hawa wakopeshaji wa kimtandao.
Hii tabia sio tuu inakiuka faragha Bali inakiuka Haki ya mteja. Kama walikibaliana kulipana na mteja hajatimiza matakwa Kwa nini hawafuati masharti yaliyopo kwenye makubaliano Yao? Hii tabia ya kuidhalilisha wateja imetoka wapi?
Nitoe wito Kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ichukue hatia Kali Kwa TCRA,Benki Kuu na Mitandao ya Simu Kwa kuyotimiza wajibu wao badala yake wanakiuka Haki za mteja.
---
“Dawa ya deni kulipa,” ni msemo unaotumiwa na watu wengi wanaodai fedha zao wakimaanisha ili kumalizana ni lazima mdaiwa alipe kile alichokopeshwa.
Mbali na msemo huo, hivi sasa watu hukumbushwa kulipa deni kwa njia ya ujumbe mfupi (sms) kwenye simu ya mhusika na kupitia watu wengine, ambao mkopaji anawasiliana nao mara kwa mara, haijalishi ndugu wala rafiki zake.
Kutokana na watu wengi kuwa uhitaji fedha, kumekuwepo na aplikesheni nyingi mtandaoni za mikopo ya ‘chapchap’ na kila moja ikiwa na kiwango chake, lakini zote zikinadi ni mkopo nafuu na wa haraka bila masharti.
Chanzo: Mwananchi
My Take: Ni vile watu hawajui sheria na pa kuanzia ila jambo hili likigikishwa mahakamani ni wazi wahusika watalipishwa faini na fidia Kwa damage wanayofanyia wateja.
Pia soma malalamiko mengine: KERO - Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana
Majibu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu
Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa wanasambaza taarifa binafsi za Wateja Wao Kwa watu mbalimbali ambao Huwa wanawasiliana Kwa kuwapigia na kutoa kashfa na kueleza kwamba wanamdai mhusika.Watu wengi wamekuwa wanalalamika Kwa huu upuuzi unaofanywa na Hawa wakopeshaji wa kimtandao.
Hii tabia sio tuu inakiuka faragha Bali inakiuka Haki ya mteja. Kama walikibaliana kulipana na mteja hajatimiza matakwa Kwa nini hawafuati masharti yaliyopo kwenye makubaliano Yao? Hii tabia ya kuidhalilisha wateja imetoka wapi?
Nitoe wito Kwa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ichukue hatia Kali Kwa TCRA,Benki Kuu na Mitandao ya Simu Kwa kuyotimiza wajibu wao badala yake wanakiuka Haki za mteja.
---
Wakopaji mtandaoni wanavyodhalilishwa
“Dawa ya deni kulipa,” ni msemo unaotumiwa na watu wengi wanaodai fedha zao wakimaanisha ili kumalizana ni lazima mdaiwa alipe kile alichokopeshwa.
Mbali na msemo huo, hivi sasa watu hukumbushwa kulipa deni kwa njia ya ujumbe mfupi (sms) kwenye simu ya mhusika na kupitia watu wengine, ambao mkopaji anawasiliana nao mara kwa mara, haijalishi ndugu wala rafiki zake.
Kutokana na watu wengi kuwa uhitaji fedha, kumekuwepo na aplikesheni nyingi mtandaoni za mikopo ya ‘chapchap’ na kila moja ikiwa na kiwango chake, lakini zote zikinadi ni mkopo nafuu na wa haraka bila masharti.
Chanzo: Mwananchi
My Take: Ni vile watu hawajui sheria na pa kuanzia ila jambo hili likigikishwa mahakamani ni wazi wahusika watalipishwa faini na fidia Kwa damage wanayofanyia wateja.
Pia soma malalamiko mengine: KERO - Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana
Majibu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu