Nilifanya ya TRA nayo ilichukua kama siku ishirin kuja kutoa matokeo.ila usitegemee Sana mkuu fanya Mambo yako nchi ina wenyewe hiiHawa jamaa wanatengeneza mazingira ya rushwa tu. Interview gani mtu anafanya kisha anasubiri majibu wiki zaidi ya mbili. Hata majibu ya VVU yanatoka fasta
Aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Ivi n kwel hawajaita au tayar maana me nshawakatia tamaa hawa
Nimo na nitaenda kwenye usaili. Kwa Mbeya kada yangu nipo kidedea, hureeeee!Yametoka tyr
Si uligoma mkuu๐Nimo na nitaenda kwenye usaili. Kwa Mbeya kada yangu nipo kidedea, hureeeee!
Uzuri wamepeleka mbali, ingekuwa kesho nisingeenda, mazao yangeharibika ku shamba!Si uligoma mkuu๐
๐๐๐Dah kazi ipoTuliofanya oral katika tume ya utumishi ya mahakama kama wataita Kwa njia ya SMS tushtuane jamani maana tusikae tunasubir kumbe watu wapo makazini
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐Dah kazi ipo