Tume ya Utumishi wa Walimu

Nsumbanzunya

Senior Member
Joined
Jun 13, 2014
Posts
177
Reaction score
42
Moja ya vitu ambavyo serikari ya awamu ya nne imemaliza navyo ni kuunda Tume ya Utumishi ya Walimu lengo kuu ni kutatua matatizo ya walimu na kuunda sheria na kanuni za utumishi katika kada ya ualimu.

Lakini yote kwa yote sijapata kuielewa matumizi ya tume hii na kivipi itamaliza matatizo ya walimu.

Sso kama kuna mwenye kuuelewa naomba achangie!
 
hata mie nimetazama bunge bt ckuelewa kwani nmekutb hatua za mwisho.
 
Ila kifupi ile nimeiona kama siasa tu kupumguza nguvu ya migomo ya walimu kwa kuweka madaraka makubwa kwaTSC kwa kuiondoa TSD na kuondoa lawama kubwa kwa serikali kwani serikali atabaki kama mwajiri na TSC kuwa na mamlaka makubwa kwa walim hivyo zile za kuandamana kwa mkurugenzi zitakuwa hazipo tena badala yake ni TSC
 
Jamani hii ni tume ambayo itakuwa na meno kuangalia sifa za wanaoajiliwa pamoja
na kutazama maslahi ya waalimu kama ilivyo tume ya madaktari nchini. Hivyo tume hii itakuwa inatoa leseni kulingana na utendaji wako wa kazi.
 
Nikuadaa walimu tu ili ccm wapigiwe kura,hakuna cha kuongeza maslahi wala nn
 
Tume yenyew haina meno ni bosheni tu.....na kuadaa walimu
 
Walimu ni dalaja la ccm...............
 
Walimu ni dalaja la ccm...............

acha kutawaliwa na matamshi ya wanasiasa.
Kama wewe ni professional teacher, basi fuata profession yako. Wananchi tunasubiri makubwa kutoka kwako.
 
acha kutawaliwa na matamshi ya wanasiasa.
Kama wewe ni professional teacher, basi fuata profession yako. Wananchi tunasubiri makubwa kutoka kwako.

mmedanganywa mara ngapi,au unapingana na ukweli?mmehaidiwa mangapi?
 
Chanzo kikuu cha mapato ya tume ni fedha zinazopitishwa na Bunge, na 'misaada toka kwa wasamazia wema'. I don't see any bright future.
 
Kweli kuna political intention tupu ndani ya swala hilo, kipindi hiki cha mwisho wake jk anafanya mambo mengi sana kwa dharura , mara miezi sita maabara , mara katiba mpya, mara bvr, that person is a bit confused with how he is involved with so great scandals than any president in history! That only runs his decisions, and nothing else. Walimu wanahitaji tume lakini wahakikishe inainstitutions zenye kukidhi maslahi ya walimu na ubora wa elimu kwa ujumla, muacheni huyo alievunja serikali mara nne kuunda baraza jipya la mawaziri akapumzike asubiri kesi zake! Na wala msiwatetee ccm kwa sababu hiyo , wanawapa mishara midogo siku nying sana wasijisafishe kirahisi hivyo unapofika wakati wa kuwahukumu kisiasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…