VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Wote ni mashuhuda. Wote mnajua. Mnajua ulivyokuwa msimamo na mtifuano wakati wa mchakato wa Katiba mpya. Mnayajua,kuyahifadhi na kuyakumbuka maneno na matendo ya wanaCCM kuelekea kwa Wajumbe wa Tume ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Warioba.
Tume nayo ilijibu mapigo na kuchagiza kwa midahalo wakati na baada ya mchakato. Wananchi waliamini CCM haiwapendi wajumbe wa Tume na Tume ikatetewa hasa na UKAWA. Akina Jaji Warioba waliitwa wapinzani. Mambo yalikuwa hivyo.
Sasa,Jaji Warioba,Polepole na wajumbe wengine wanaipigania CCM. Wamesahau walivyotwezwa,kutukanwa na kukandiwa. Walikuwa wanawatapeli na kuwalaghai watanzania?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Tume nayo ilijibu mapigo na kuchagiza kwa midahalo wakati na baada ya mchakato. Wananchi waliamini CCM haiwapendi wajumbe wa Tume na Tume ikatetewa hasa na UKAWA. Akina Jaji Warioba waliitwa wapinzani. Mambo yalikuwa hivyo.
Sasa,Jaji Warioba,Polepole na wajumbe wengine wanaipigania CCM. Wamesahau walivyotwezwa,kutukanwa na kukandiwa. Walikuwa wanawatapeli na kuwalaghai watanzania?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam