Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Kauli ya Chikawe kuwa JK asiposaini Muswada ataingia kwenye Mgogoro na Bunge haina Mashiko na ya kinafiki kama sio upotoshaji.
Alitakiwa aseme kuwa JK asiposaini Muswada ataingia kwenye Mgogoro na Wabunge Wanafiki na Wa Binafsi kutoka CCM na Mrema wa TLP
Alitakiwa aseme kuwa JK asiposaini Muswada ataingia kwenye Mgogoro na Wabunge Wanafiki na Wa Binafsi kutoka CCM na Mrema wa TLP