Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,315
Walichofanya wabunge wa CCM ni kujimaliza, bahati nzuri kura zilipigwa na wakaonekana bayana wakiukubali muswada. Ole wao wenye ndoto za kurudi tena bungeni iwe ni Bunge la Tanganyika au Jamhuri ya Muungano wa TZ.