S. Africa, Kenya, Uganda, Gambia, Nageria na India nazo pia Serikali zao hazina dini lakini pia zimeka kwenye katiba na zinatoa pesa kugharamia iweje Tanzania tunakuwa na choyo?
[/QUO]
Mnapenda kuiga sana. Marekani, Uingereza... wanaruhusu ushoga, kwa
akili yako na Tz turuhusu ushoga?