Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

Status
Not open for further replies.
 
unataka kuaminisha uma kuwa sababu nchi zingine zinakubali ushoga basi na sisi tuukubali tukianzia kwako
Ni wa dini gani hao? Hapana mahakama ya kadhi itatuletea mambo meme pamoja na kupinga ushoga.
 
Toa hoja kwa nini isiwe Tanzania wakati sehemu ya jamii ya watanzania mojawapo inahitaji hicho kitu?


Kama mnahitaji si muanzishe basi, nani kawazuia? Suala hapa ni kwamba pesa za serikali hazitatumika kuanzisha hiyo mahakama wala kugharimia uendeshaji wake. Nyie mnaoitaka, ruksa anzisha na muiendeshe kwa gharama zetu. Period.

Tiba
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…