Tumeacha kujadili 'Budget' tumepewa Chalamila tumjadili

Tumeacha kujadili 'Budget' tumepewa Chalamila tumjadili

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.

Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.

Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.

Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?

Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.

Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
 
Tabia za watanzania ni kujadili matukio, liwe la mpira, utumbuaji, na yote mengine yenye ladha ya umbeya fulani, hapo kila mmoja atapachika story yake kama ni mpira kila mmoja atakuwa kocha, kama kutumbuliwa kila mmoja atatoa sababu yake.

Suala la budget kulijadili limeharibiwa na uwepo wa lile bunge feki ambalo karibia nusu ya wabunge wake hawakustahili kuwepo pale, wengi wamewekwa kinyume cha utaratibu na sheria za uchaguzi kuvunjwa.

Lakini pia hizo budget zenyewe kila mwaka tunaona huwa hazitekelezeki, ambapo mpaka mwaka wa budget unapokaribia kwisha bado kuna wizara zinakuwa hazijapata fedha walizoahidiwa, hili linapunguza ufanisi wa wizara kwa kiasi kikubwa sana, na kodi mpya kumkamua mwananchi.
 
Burudani za Mama zimezidi utamu, anazidi kuwatengua Watesi wa Wananchi, Bajeti hata tukiijadili imeshapita.

Burudani! Burrudani! bado tu ya Professa Mussa Assad aishike Wizara ya Fedha halafu Lameck Madelu akafuge Fisi Iramba.
 
Burudani za Mama zimezidi utamu, anazidi kuwatengua Watesi wa Wananchi, Bajeti hata tukiijadili imeshapita.

Burudani! Burrudani! bado tu ya Professa Mussa Assad aishike Wizara ya Fedha halafu Lameck Madelu akafuge Fisi Iramba.
Na ashafahamu watanzania ni wepesi sana. Wanataka burudani. Wakija shtuka miaka imekatika hamna jipya.... 😁😁😁😁
 
Na ashafahamu watanzania ni wepesi sana. Wanataka burudani. Wakija shtuka miaka imekatika hamna jipya.... 😁😁😁😁
Burdani inaongeza hata siku za kuishi hayo mastress ya Bajeti hata tukilalamika hakuna kitakachobadilika
 
Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.

Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.

Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.

Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?

Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.

Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
This is spinning strategies! Lakini alisitahili kwa kinywa chake kilitabiri. Uzima na mauti zimo ndani ya ulimi
 
Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.

Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.

Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.

Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?

Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.

Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
Mkuu budget, ya mwaka huu, inarejesha kodi ya kichwa, sijajua Kama wataalam na washauri Kama wanafanyaga study tour baadhi ya Nchi au huamua liwalo liwe ilihali wapo ndani ya V8 , wanalipiwa nyumba, vocha,suti nk ,

Leo bibi yangu niliemnunulia sim ya kitoch ili niwe namsalimia mnamlipisha lain , nikituma pesa nayo mnalamba, wakati huo kampuni ya sim inawalipa kodi itokanayo na miamala, vocha nikinunia nalipa kodi ,ila bado mnataka tena, kule kodi ya jengo kupitia luku,


Chama tawala ubunifu umefika MWISHO katika kulisogeza taifa mbele, kilichobaki ni kuumiza wananchi , huku wachache mkila mema ya Nchi
 
Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.

Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.

Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.

Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?

Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.

Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
Hakuna cha Bajeti hapo Bajeti Bila Kambi Rasmi ya UPINZANI
 
Hao wabunge ambao walikuwa wanashangilia baada ya kuongezwa ushuru kwenye mafuta na simu ndo hao hao wajadili....! Hakuna jipya, tubebenu mzigo wa uchumi wa Kati chini hakuna namna huku wao wakijua tutaendelea kuwalipa posho ya mawasiliano na mafuta kila mwezi hivyo ushuru huo hautawaathiri lakini wanasahau ndungu zao nao ni wahanga tu Kama sisi.
 
Mkuu endelea kubadili bajeti, hii nchi ukiwa serious sana utaumia..

Don't give a fucck
 
Na ashafahamu watanzania ni wepesi sana. Wanataka burudani. Wakija shtuka miaka imekatika hamna jipya.... 😁😁😁😁

Mkuu kabla hata ya taarifa ya huyo mkuu wa mkoa kuondolewa, huo uzi wa bajeti haukuwa na mvuto. Hata huku mtaani hakuna mtu alikuwa anafuatilia kwa makini huo uchafu aliokuwa anasoma Mwigulu. Na kwa taarifa yako, hata kusingekuwa na hilo tukio la kutenguliwa, watu wengi wasingejikita kujadili hiyo bajeti ya bunge kibogoyo. Hayo ndio matatizo ya kuwa na bunge lililo kisheria, lakini bila ridhaa ya umma.
 
Kwani wewe amekuzuia nani kuijadili bajeti
 
Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.

Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.

Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.

Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?

Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.

Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
By the way, nani amekupa wewe Chalamila ili umjadili? Umepewa au umemchukua mwenyewe?
 
Hakuna cha Bajeti hapo Bajeti Bila Kambi Rasmi ya UPINZANI
Labda waliyoianda ndio ile covid 19.
Hotuba ya budget ya Madelu ilijaa mapambio, nadhani kwa nia ya kuupaka rangi na kuufunika UHOVYO uliyokuwamo.
 
Hivi hata kama mkiijadili Budget na mkaona ina makosa au mapungufu, mkiwa kama raia wa kawaida mtafanyanini kuirekebisha hiyo budget??

Hamna uwezo wa kuikataa. Kama budget ni mbovu itapitishwa tu. Hivyo kujadili au kutokujadili hakuna maana yoyote ile.
 
Back
Top Bottom