Crimea Halafu tunahangaika kujua kwanini wagonjwa wa kasa, sukari na presha wanaongezeka kumbe wapo wanaojitakia kwa sababu ya chuki na wivu🙄🙄Umemsahau Diamond hadi wameweka na petition ya kusaini
. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watz mambumbumbumbu hapa nchini!
Kuna kipindi nasikia aibu kusema mimi ni mtanzania. Nchi hii ina wapumbavu wengi. Yaani wanaungana kupambana na diamond ila hawawezi ungana kupambana dhidi ya unyonyaji ,kodi za kipuuzi, ukosefu wa sukari,mafuta n.kNmekwambia kwenye ule uzi mwaingine kwamba siyo kwamba ni kwa sababu bunge ni kibogoyo.
Ila shida watz ni wengi ni wajinga! Yani ishu ya kuathiri maisha yako kwa miaka 2 ijayo unaacha inapita hivi hivi ila likija suala la Chalamila na Diamond ndio watu mmekomaa hadi mishipa inawatoka.
Hao ndio watz mkuu!Kuna kipindi nasikia aibu kusema mimi ni mtanzania. Nchi hii ina wapumbavu wengi. Yaani wanaungana kupambana na diamond ila hawawezi ungana kupambana dhidi ya unyonyaji ,kodi za kipuuzi, ukosefu wa sukari,mafuta n.k
Acha ccm iendelee kutawala tu mkuu kwa akili zile za kina Lema eti hadi wameazimia kumtoa Mondi youtube!Crimea Halafu tunahangaika kujua kwanini wagonjwa wa kasa, sukari na presha wanaongezeka kumbe wapo wanaojitakia kwa sababu ya chuki na wivu[emoji849][emoji849]
Hizi ni tabia kuzimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo nakupangia bali hicho ndio mnachokipenda kujadiliKwa Iyo unatupangia Cha kufanya?
Wewe budget umeichambua, au upo ilimladi kutusakama ili nafsi yako itulieSiyo nakupangia bali hicho ndio mnachokipenda kujadili
Nmekwambia kwenye ule uzi mwaingine kwamba siyo kwamba ni kwa sababu bunge ni kibogoyo.
Ila shida watz ni wengi ni wajinga! Yani ishu ya kuathiri maisha yako kwa miaka 2 ijayo unaacha inapita hivi hivi ila likija suala la Chalamila na Diamond ndio watu mmekomaa hadi mishipa inawatoka.
Hakuna aliyelazimishwa kumjadili Chalamila wala kukatazwa kumjadili bajeti. It's your option!Na ashafahamu watanzania ni wepesi sana. Wanataka burudani. Wakija shtuka miaka imekatika hamna jipya.... 😁😁😁😁
Si ndio hapo sasa, anashangaa watu hawajadili bajeti ya majizi ya kura, wakati huo huo yeye yuko kwenye kila uzi hata usiojadili budget!Wewe budget umeichambua, au upo ilimladi kutusakama ili nafsi yako itulie
Acha ccm iendelee kutawala tu mkuu kwa akili zile za kina Lema eti hadi wameazimia kumtoa Mondi youtube!
Hii itamsaidia nini bibi yake Salary slip anaeteseka kwa umasikini kule kijijini?
Walivyo wajinga hapo wanaona ndio watakuwa wamepata mafasi na wao kuwa ikuluChadema wanapambana usiku na mchana kumtoa mtoto wa mama DiamondPlatinumz BET[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa wamepoteza dira
Jamani kwani dhalimu si amekufa? Na mambo yako shwari?Huo ujinga wa watanzania Ndio umeanza Sasa? Mbona kipindi cha Samwel Sitta na Anna Makinda watu walikuwa wanafuatilia sana bunge kabla ya dhalimu kuiingia madarakani, na kuanza kunajisi chaguzi na kufanya Mihimili kibogoyo? Ama ulianza kufuatilia siasa kipindi dhalimu ameingia madarakani?
Hapana sijaichambua niko busy kusaini petition ya kumtoa Mondi BET na kufurahi kutumbuliwa kwa chalamila, mambo ya bajeti yana umuhimu gani kwangu mie zaidi ya hayo?Wewe budget umeichambua, au upo ilimladi kutusakama ili nafsi yako itulie
Jamani kwani dhalimu si amekufa? Na mambo yako shwari?
Inakuwaje sasa unakuwa mwepesi kufuatilia ishu za kijinga kama za kumtoa Diamond BET na kushabikia kutumbuliwa kwa sabaya na chalamila huku zile za kuongezewa kodi ukipiga kimya kwa kisingizio cha marehemu?
Na ndio mada inavyosema mkuu! Nyie uwezo wenu ni kudeal na mambo madogo madogo kama haya ya kuwaondoa kina Mondi huko BET, haya hadi petition mtasini ila mambo makubwa ya kujadili bajeti na kuonesha jinsi mtakavyoumia miaka miwili ijayo haya hamuyawezi ndio mana tukasma watz ni wajinga.Hizo za kuongezewa kodi haziwezi kubadilika maana ndio uwezo wa hilo bunge kibogoyo, chini ya serikali ya majizi ya kura, sana sana itakuwa kufurahisha genge. Hizo ndogo ndogo za kuondolewa kina Diamond ziko ndani ya uwezo wetu kwani wanadeal na watu tofauti sio hawa wahafidhina wa ccm. Tunashabikia kutumbuliwa kwa Sabaya maana dhalimu anadhalilishwa baada ya kuumiza watu wetu.
Naam!Budget imesomwa jana na Waziri wa Fedha asiye na ubunifu, mwenye akili chovu mchama na si mtanzania. Kama Uchawi upo na unafanya kazi Mganga wa Mwigulu ni wa kujengewa Sanamu katikati ya Jiji.
Nchi za watu wenye akili wangetumia muda mwingi sana kuijadili budget. Kuangalia mazuri na mabaya yake. Kupongeza na kukosoa.
Kwa nchi kama ya Tanzania ni rahisi kututoa kwenye reli. Tumepewa Chalamila Tuhangaike naye. Budgeti si issue kubwa sana. Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kumwondoa RC Jijini Mwanza.
Binafsi nlisikitika toka siku ya kwanza alipopelekwa Mwanza. Nikasema tumemkosea nini Rais mpaka kuamua kumleta RC Mgonjwa wa akili kama Chalamila?
Leo hii ametenguliwa naona ni jambo jema. Lakini si suala la kitaifa kama la Budget. Hili ni la muhimu sana kujadiliana namna ambavyo wanaona ni bora kuwakata wananchi kodi kwenye Simcard na Kwenye Mafuta. Na tungeangalia athari zake kiuchumi.
Baada ya siku kadhaa Chalamila atakuwa si issuee tena. Lakini suala la budget tunaweza kaa nalo Mwaka Mzima au miaka na athari zake ni kubwa sana. Tusiache kutumia akili zetu.
Mond uyo nduguyo toka ccm , aliekula bata chini ya mwendazake wakati haki za watu zikikanyagwa, ongera KWA ilo Kama umeamua kuokokaHapana sijaichambua niko busy kusaini petition ya kumtoa Mondi BET na kufurahi kutumbuliwa kwa chalamila, mambo ya bajeti yana umuhimu gani kwangu mie zaidi ya hayo?