Brilliant Beauty
Member
- Jul 8, 2022
- 76
- 134
Unadhana potofuuu wewe. Sio lazima kumuudumia pia ni vyema kuplay majukumu yako kama unakipato , sasa kama utaki kumuudumia basi usimtumie mpaka umuoe .Binti hujamuoa umhudumie wewe? na wazazi/ndugu zake wafanye nini?
Msome marambilimbili pale alipoandika'Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia'.Pole Natafuta Ajira
Ungebaki nae tu,muhimu alielewa hali yako na bado akachagua kuwepo kwenye maisha yako
Hao mabroo utawaweza basi. Wanachukulia mambo kirahisi rahisi sana wanafikiri privilege wanazopewa wao kwenye jamii ni sawa na sisi ambao bado tunajitafutaWe ipo hiyo !! Sema haijawahi kukutokea tulio anxaa sifuri kujitafutaa tunamuelewaa
Sent from my itel S663L using JamiiForums mobile app
Aiseee.! Mimi nlifikiri wote ni super women yaani wale fermists konkMbona wanawake wengi tu humu huwa wanajinadi kwa uwazi kabisa kuwa wako βafter money β. !
Uwe unawasoma between lines utawaelewa vizuri.
Tena wapo wengi tu.
Wanawake ambao wanaamini katika Penzi la dhati lisilo na masharti ikiwemo fedha kwa humu Kama wapo ni wachache sana kiasi cha kuhesabika, walio wengi wako after money [emoji383]
πππHahah anajua team fisi amchelewi kufikisha ujumbe
Mimi ni kijana mwenzio ila hapo umefeli yaani. Sasa unafikiri utaweza kuishi pekee yako bila pa kukojelea. Trust me utatafuta tu mwingine. Kama sio utaanza kununua. Kama sio uta piga punyeto labda uwanze kwenda kanisaniHao mabroo utawaweza basi. Wanachukulia mambo kirahisi rahisi sana wanafikiri privilege wanazopewa wao kwenye jamii ni sawa na sisi ambao bado tunajitafuta
Mwanamke nae ana future yake ana matarajio yake kama unaona haupo katika wakati sahihi wa kumtimizia muache aende mawazo yasiishie kwenye kufikiria sehemu ya kukojoa shahawa zako tuMimi ni kijana mwenzio ila hapo umefeli yaani. Sasa unafikiri utaweza kuishi pekee yako bila pa kukojelea. Trust me utatafuta tu mwingine. Kama sio utaanza kununua. Kama sio uta piga punyeto labda uwanze kwenda kanisani
Sasa unabidi umwambie akubali tu mwenyewe hilo swala lilikua ni dogo. Hafu inaonekana mwanamke mwelewa. Mm nilikutana nakitu kama hiki ni around 22 yrs old. Niliona ananiomba pesa sana ilihali Mimi sikufahamu mahusiano yetu yanakwenda wapi ilibidi nimuulize vizuri mm na yeye tunakwenda aliishia kijiumauma tu. Ndo ikawa mwisho.Mwanamke nae ana future yake ana matarajio yake kama unaona haupo katika wakati sahihi wa kumtimizia muache aende mawazo yasiishie kwenye kufikiria sehemu ya kukojoa shahawa zako tu
Ningemuambia ofcourse angekataa sometimes kutaka majadiliano na mwanamke ni kukuza mambo tu bila ulazima. Mwanaume kama una uhakika na unachokifanya chukua maamuzi tu mwanamke atakuja kuelewa mbele kwa mbeleSasa unabidi umwambie akubali tu mwenyewe hilo swala lilikua ni dogo. Hafu inaonekana mwanamke mwelewa. Mm nilikutana nakitu kama hiki ni around 22 yrs old. Niliona ananiomba pesa sana ilihali Mimi sikufahamu mahusiano yetu yanakwenda wapi ilibidi nimuulize vizuri mm na yeye tunakwenda aliishia kijiumauma tu. Ndo ikawa mwisho.
ππππππ wacha banaKhaaa!! πππ
Si tumekubaliana maokoto sizangatii
Msiwalaumu wanawake maana hayo mapenzi ya dhati siku hizi hayapo unakuta mtu kapanga msururu wa wanawake na wote anawaahidi atawaoa, na uzuri ninyi wenyewe huwa mnakiri kwamba hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja sasa kwanini mnataka wanawake wawachukulie serious, ninyi wenyewe hamko serious na mapenzi mnawaza ngono tu ila wanawake wakiwaza pesa mnawatukana na kuwadhalilishaMbona wanawake wengi tu humu huwa wanajinadi kwa uwazi kabisa kuwa wako βafter money β. !
Uwe unawasoma between lines utawaelewa vizuri.
Tena wapo wengi tu.
Wanawake ambao wanaamini katika Penzi la dhati lisilo na masharti ikiwemo fedha kwa humu Kama wapo ni wachache sana kiasi cha kuhesabika, walio wengi wako after money [emoji383]
Mwanaume kuwa na wanawake wengi ni kutimiza jukumu lake la asili ila mwanamke kuwa na wanaume wengi ni umalayaMsiwalaumu wanawake maana hayo mapenzi ya dhati siku hizi hayapo unakuta mtu kapanga msururu wa wanawake na wote anawaahidi atawaoa, na uzuri ninyi wenyewe huwa mnakiri kwamba hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja sasa kwanini mnataka wanawake wawachukulie serious, ninyi wenyewe hamko serious na mapenzi mnawaza ngono tu ila wanawake wakiwaza pesa mnawatukana na kuwadhalilisha
Usione kila aliyetoboa ukajua amefight sana na usione mtu hajatoboa ukajua alikuwa lazy sana ,,,,,,kaa jiulize utatoboa lini??? Usijekujikuta umekuwa mzee msela kama kakangu T I D MNYAMA ,,,,,anyway wew ndo kioo cha maisha yako mwenyewe,,,,,,hayanaga fomulaWabongo tuna uraibu/adiction ya tabu na umasikini. Tupo tayari kuilinda, kuitetea na kuipigania chain wa umasikini hata kama unaweza kuchukua maamuzi rahisi tu kuuzia kabla iyo chain kabla haijawa established. Mtu asipopitia maisha ya tabu/umasikini tunaona kama vile life cycle yake haijakamilika.
Sema nini mkuu umemuacha huyo mwanamke ukiwa na hofu kuu moyoni mwako,,,,vipi ikitokea umejitafuta umejipata ukaoa afu ukaja kufilisika vipi utamuacha kwa sababu umekuwa fukara????Kwa mwanume kuoa au kuingia kwenye mahusiano siriaz ni kujiongezea majukumu, hivi unaona sawa mtu aoe wakati anajua hatoyamudu hayo majukumu kwa wakati husika hata nikisema nioe bado kuna watakaolaumu kwanini umeoa wakati unayumba kiuchumi utahudumia vipi mkeo. Kila maamuzi hayakosi wakosoaji cha muhimu ni kuchukua hatua unazoona zinafaa. Binafsi siwezi kumshauri mtu abebe majukumu yanayomzidi uwezo kwa kigezo kwamba wapo wengi wanaishi ivyo, kuishi maisha ya shida sio mashindano.