Tumeachana rasmi

Tumeachana rasmi

Umetumia kilevi gani leo? 🤣 Yani hupendi uongo ila unadanganya bila aibu kwel?
🤣🤣🤣 Extro nimedanganya nini??
Hivi kwann unapenda kusema me napenda pesa?!! Najua iki ndo unachotaka kusema tu!!
 
Hizi story za namna hii zinavutia Sana na kuoendeza ukizisoma na hata zikiimbwa kwenye music na naamini kila mwanaume anahitaji hiki lakini je mwanamke yupo tayari, so kitu Kama hiki kuwezekana ni inategemea kwenye maamuzi ya mwanamke na si mwanaume, mwanaume hauwezi amua kitu hiki kitokee ila mwanamke anaouwezo huo so sio cha kujisifu mwanaume bali kushukuru tu.
Watu wamekalili story na movie za kufanikiwa baada kupitia hali ngumu na kujua ndivyo maisha yalivyo hawajui kuna kuna kundi kubwa zaidi la watu ambao wanaishia kwenye msoto maisha yao yote sema tu story zao hazipewi airtime ya kutosha
 
Kwa hiyo kama huna pesa huna haki ya kupenda/ndwa?

Kama ipo nafasi mrudie mwenzako,pambana akiwepo
Kususa haikusaidii kitu

Kwa sasa huna mpenzi,pesa huna unaanza kuchukua sheria mkononi sio?
Ni wachache wanaoweza kufikuria deep kiasi hichi upo makini Sana na nyege zako hutaki kabisa zikusumbue
 
Huyu jamaa mshamba, kuna mambo ameyaficha. Its either hakuwa na mapenzi ya kweli na huyo demu na amepata next better option au la ameshagundua kuwa demu tayari ana mtu mwengine so anaweza akachekechwa at any moment.

Wanaume huwa hatuachi wanawake tunaowapenda kirahisi regardless what isipokuwa penye dalili za usaliti tu. Kukosa hela haijawahi kuwa sababu ya kuacha mwanamke mtoa mada ajiangalie maana kuna dalili atakuja kuikimbia familia yake siku 1 huko mbeleni.
We ipo hiyo !! Sema haijawahi kukutokea tulio anxaa sifuri kujitafutaa tunamuelewaa

Sent from my itel S663L using JamiiForums mobile app
 
Humu kila mwanaume anajiamini, anachakata pisi kali, mjanja wa mjini. Kila mwanamke ni super woman, hapigi mizinga anajimudu kiuchumi, hayumbishwi na mwanaume. Hizi fake ID zinatusitiri sana.



Mbona wanawake wengi tu humu huwa wanajinadi kwa uwazi kabisa kuwa wako “after money “. !

Uwe unawasoma between lines utawaelewa vizuri.

Tena wapo wengi tu.

Wanawake ambao wanaamini katika Penzi la dhati lisilo na masharti ikiwemo fedha kwa humu Kama wapo ni wachache sana kiasi cha kuhesabika, walio wengi wako after money [emoji383]
 
Nimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana.

Kwa mwanaume ni ngumu kudumisha mahusiano kama haupo stable kiuchumi, sio binti muomba hela akiniomba basi najua kabisa huyu ana shida kweli tatizo hata hizo mara chache anapoomba msaada wangu nakua sina kitu.

Baada ya kujitafakari nimeona ni bora tuachane uenda akakakutana na mwingine mwenye hali nzuri. Sijamuambia sababu nipo broke nimetafuta sababu nyingine. Kama kawaida kaniaga kwa maneno makali kidogo lakini nilishajiandaa kwa ilo.

Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia. Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
Hahhaha duh sasa hapo ulikosea bro ..umejiami mapema sanaa ungempenda tu kawaida, then kipindi cha ubroke ni cha mpito tu unaona eeh? Kwahyo wewe ungempenda kawaida na kumpa moyoo tu pia ungemjengea dhana ya kukuamini kwamba ipo siku utatoka na kuwa na hela vizuri tu . Wanawake wanakaa na watu wenye future . Sio hela za siku mbili tatu.
 
Back
Top Bottom