Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Habarini wakuu.
Nimeona hili nilete humu manake majukwaa mengine watu wako bize na siasa najua humu lazima ntapata msaada wa mawazo.
Mimi ni me nimeoa nina mwaka mmoja na nusu sasa lakini katika kipindi hicho chote mke wangu hajabeba ujauzito.
Tumeenda hosp na kufanyiwa vipimo vyote wanasema wote hatuna matatizo tuendelee ku relax mimba itakuja tu.
Sikukata tamaa ikanilazima nitafte wana maombi kuna mama mmoja nikamualika atuombee hapa kwangu ndipo mapepo yalipolipuka kwa wife na kusema kuwa yametumwa na aunt yake yamfunge asizae. Huyo mama akapiga maombi kama masaa matano ivi ndo mapepo yakatoka na mama akatuambia tu relax mimba itaingia tu.
Sasa mzunguko wa wife ni siku 28 na jana ni siku yake ya 19 akaanza kulalamika tumbo na kiuno vinauma ndopo nilipoanza kumuombea maana nami pia nina imani. Nilipoomba akapandisha na mapepo yakaanza kusema kuwa yametumwa na shangazi kuja kuiharibu mimba ambayo imeshaingia.
Ikanilazimu kumuita jirani yangu nae ameokoka tukakemea balaa mpaka mapepo yakasalim amri kuwa yameshindwa yakakimbia.
Sasa leo ni siku ya 20 wife kaamka vizuri ila kila anapoona dalili za maumivu ananiambia namuombea yanaacha.
Wadau je kuna mtu hali hii ilishawahi kumtokea? Na je nini tiba ya kudumu kama kuna wadau wana vikundi vya maombi humu tutaftane tuunge nguvu huyu pepo asiharibu maana hakika nina ham sana na mtoto.
Sio stori ya kutunga ntaleta mrejesho kwa kila kinachoendelea manake nilishagaleta tatizo lang la kukosa mtoto hapa.
Wenye matatizo ya kupata watoto jamani komaeni kwenye maombi hasa kama umepima na kuambiwa huna tatizo shetani yupo jamani
Nimeona hili nilete humu manake majukwaa mengine watu wako bize na siasa najua humu lazima ntapata msaada wa mawazo.
Mimi ni me nimeoa nina mwaka mmoja na nusu sasa lakini katika kipindi hicho chote mke wangu hajabeba ujauzito.
Tumeenda hosp na kufanyiwa vipimo vyote wanasema wote hatuna matatizo tuendelee ku relax mimba itakuja tu.
Sikukata tamaa ikanilazima nitafte wana maombi kuna mama mmoja nikamualika atuombee hapa kwangu ndipo mapepo yalipolipuka kwa wife na kusema kuwa yametumwa na aunt yake yamfunge asizae. Huyo mama akapiga maombi kama masaa matano ivi ndo mapepo yakatoka na mama akatuambia tu relax mimba itaingia tu.
Sasa mzunguko wa wife ni siku 28 na jana ni siku yake ya 19 akaanza kulalamika tumbo na kiuno vinauma ndopo nilipoanza kumuombea maana nami pia nina imani. Nilipoomba akapandisha na mapepo yakaanza kusema kuwa yametumwa na shangazi kuja kuiharibu mimba ambayo imeshaingia.
Ikanilazimu kumuita jirani yangu nae ameokoka tukakemea balaa mpaka mapepo yakasalim amri kuwa yameshindwa yakakimbia.
Sasa leo ni siku ya 20 wife kaamka vizuri ila kila anapoona dalili za maumivu ananiambia namuombea yanaacha.
Wadau je kuna mtu hali hii ilishawahi kumtokea? Na je nini tiba ya kudumu kama kuna wadau wana vikundi vya maombi humu tutaftane tuunge nguvu huyu pepo asiharibu maana hakika nina ham sana na mtoto.
Sio stori ya kutunga ntaleta mrejesho kwa kila kinachoendelea manake nilishagaleta tatizo lang la kukosa mtoto hapa.
Wenye matatizo ya kupata watoto jamani komaeni kwenye maombi hasa kama umepima na kuambiwa huna tatizo shetani yupo jamani