Tumeamua kujipa majina haya baada ya kukosa ajira; bosi, afisa, mkurugenzi, injinia, mzee wa kazi bila kusahau mkuu

Tumeamua kujipa majina haya baada ya kukosa ajira; bosi, afisa, mkurugenzi, injinia, mzee wa kazi bila kusahau mkuu

killo255

Senior Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
110
Reaction score
127
Siku hizi wasomi kibao tumeamua kuanza kupeana majina yatakayotupa heshima mjini..
Kamanda,Bosi wangu,Afisa,Mkuu,Big yote hayo kukosa ajira.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji57]

Em gusia na mengine yalokosekana hapo juu Tuone unaita/Unaitwaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bila kusahau neno jipya mjini Dr. Shika, lakin zote hizi ni mbwembwe tu, huwa sipendi mtu aniite boss while sina hata 5k mfukoni, au kuna zile jitu linakukuta bar na bajeti yako finyu unapambana na Balimi zako linakuchangamkia boss boss...

Bwana wee utasikia Boss Kubwa mara Mzee baba
 
Back
Top Bottom