Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiingia group la wanabetting, mpambanaji ni jina maarufu sana, sasa sijui ile tuite ni mipango au ni nini etKama huna mipango yoyote ni mpambanaji pia teh
Teh mnapambana kubet, haya wapambanaji...Ukiingia group la wanabetting, mpambanaji ni jina maarufu sana, sasa sijui ile tuite ni mipango au ni nini et
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bila kusahau neno jipya mjini Dr. Shika, lakin zote hizi ni mbwembwe tu, huwa sipendi mtu aniite boss while sina hata 5k mfukoni, au kuna zile jitu linakukuta bar na bajeti yako finyu unapambana na Balimi zako linakuchangamkia boss boss...
Tunapambana na muhindi, toa neno moja basi either poleni, hongereni, au kila la kher tufarjikeTeh mnapambana kubet, haya wapambanaji...
Tuliza mzuka mkuu, unaweza kuwa boss wa BalimiBila kusahau neno jipya mjini Dr. Shika, lakin zote hizi ni mbwembwe tu, huwa sipendi mtu aniite boss while sina hata 5k mfukoni, au kuna zile jitu linakukuta bar na bajeti yako finyu unapambana na Balimi zako linakuchangamkia boss boss...
Yaani acha tu hapo huwa naagiza bia yangu na kulipa papo hapo hakuna cha kungoja bill.Bwana wee utasikia Boss Kubwa mara Mzee baba
Lugumi Niki apa assistance CEO Dr Louis shika .Le Profeseri
Mkurugenzi upoSiku hizi wasomi kibao tumeamua kuanza kupeana majina yatakayotupa heshima mjini..
Kamanda,Bosi wangu,Afisa,Mkuu,Big yote hayo kukosa ajira.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji57]
Em gusia na mengine yalokosekana hapo juu Tuone unaita/Unaitwaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hio mzee baba huwa siielewi...Bwana wee utasikia Boss Kubwa mara Mzee baba
Hio mzee baba huwa siielewi...
Ukisikia unaitwa 'mjomba' ujue we mlugalugaWatoto wamjini wanambwembwe sana mkuu..
Utasikia Senator
Ukisikia unaitwa 'mjomba' ujue we mlugaluga