Pole sana mkuuNilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Umaskini,na ujinga hapo wamepungukiwa na maradhi tu,kuwa hamna kitu tena.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Usipozichukua mapema ambyulesi na polisi watamhifadhia pabaya.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Masikini ni kama mnyamaNilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!